MMU hot talk

MMU hot talk

Humu kuna makubwa....
Haya mie nabaki kuwa mtazamaji.
CC: amu..... lara 1 naona unakaa mita 4 mbele, ukijibu mashambulizi, au unakwepa chupa za uso.
....ngoja 😛eep: kwanza, nitarudi.
 
Last edited by a moderator:
Rais wa wabeba box kwenye ubora wake, kweli nimeamini asiyekujuwa hakuthamini, sikuwahi kujuwa hapo kabla kama eneo hili unaweza kulichambuwa kwa viwango vya juu kama vya Dr Rick Abdalla.

Hii style ya Bebeto siku moja Mohamed Hussein Mmachinga aliiga uwanja wa Taifa, siku moja nilienda nyumbani kwa Method Mogela fundi R.I.P nilikumta Mohamed Hussein naye yupo pale nikamwambia kaka ulichemka.

Mkuu nyumbani kwa Method Mogela Buguruni au Mwenge alikopanga.... Kama ni Mwenge.... come on boy..... Home sweet home!! You know what I mean?
 
ha ha ha ha ona sasa UWANJA WA MAGUNIA ni pale msasani nyuma ya drive in [US embassy] maandazi road

muulize Asprin

You are right pal.... Uwanja wa Magunia, Msasani. Hapo zikipigwa mechi za Abajalo uwanja hautoshi. Hizi timu sijui zilikufaje angalau Ashanti imefanikiwa kucheza ligi kuu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahhahahah..ndo maana watu mafamous humu...Bibi bombaz WaPo kila sehemu...anyway age is just a number na mie ipo siku ntaanza kurudisha miaka nyuma ngoja nikae back seat niendelee kuwatch. tayta a cup of tea please

tea.gif
 
Hapana. Hii ilikuwa ni robo fainali kati ya Brazil na Uholanzi.

Halafu unalikumbuka goli la Rashid Yekini dhidi ya Bulgaria?

Jamaa abaada ya kufunga akaenda akazishika nyavu kwa hisia sana.

Cheki hapa.....



Yeah nalikumbuka sana lile goli lilitamba sana kwenye media. Nakumbuka alikuwa muda si mrefu kawa mfungaji bora kwenye AFCON watu wakamtabiria kufanya makubwa WC....lakini hilo ndilo lilikuwa bao lake pekee kwenye fainali za WC.

Huyu Yekini nasikia alikuja kufulia kiasi cha kuishi maisha ya chini sana Lagos mpaka alipofariki.
 
Last edited by a moderator:
Yeah nalikumbuka sana lile goli lilitamba sana kwenye media. Nakumbuka alikuwa muda si mrefu kawa mfungaji bora kwenye AFCON watu wakamtabiria kufanya makubwa WC....lakini hilo ndilo lilikuwa bao lake pekee kwenye fainali za WC.

Huyu Yekini nasikia alikuja kufulia kiasi cha kuishi maisha ya chini sana Lagos mpaka alipofariki.

Unatupigia kelele....watu tumepumzika bhana
 
Ah pale Relwe Gerezani mbona nilikuwa naenda sana. Enzi za kina Stanley "Ninja" Mabesi na yule Mzambia Charles Libondo. Pale mi nilikuwa mwenyeji sana.



Halafu unajua Dar kipindi hicho ilikuwa ndogo sana ukilinganisha na sasa. Nazimiss sana enzi hizo aisee na najua tushapishana sana kwenye hivyo viwanja. Hahahaaa

Aisee Mabesi na Libondo ilikuwa habari ya mjini. Hata kama hukuwa shabiki wa masumbwi ulilazimika kuwajua.

Kweli mji ulikuwa mdogo. Imagine pale Kisutu ndo ilikuwa stand ya mabasi ya mikoani enzi hizo magari yanasafiri usiku. Sasa hivi hata taxi zinapajaza na nyingine zinakosa pa kupaki.

Si utani zilikuwa siku nzuri sana za kukumbuka.
 
Mpwa hapa ni nini? Page 45 kila page 30 posts......

Hapa kila mtu anapiga stori yake mpwa...

Si unaona mpwa ODM anakumbushia enzi zake hapa tauni, enzi za Embassy Hotel, Magoti, ukitaka kutikisa nyonga unasogelea DDC Mlimani au La Prima...

Enzi hizo Gogo Hotel ndio kiota cha maraha pale Morocco lilipo sasa jengo la Airtel...

Ukitaka kutazama mchiriku unakuja hapo ilipo ofisi kuu ya Zantel na jioni kidogo unajongea pale maandazi road uwanja wa magunia kuwacheki kina Tigana, Kasongo Athuman etc wakipiga ndondo...

Kwa wale wapendai michezo ya pikipiki walikuwa hawakosi events za urushwaji pikipiki pale ulipo uwanja wa Biafra...

Na wale wapenzi wa kikapu nani alikuwa anakosa gemu za kikapu pale Tanesco unakutana na kina Muhogo Mchungu, Pat Nyembela, John Ntambwe 'wa Mafuta' (R.I.P) , Dudu (R.I.P) etc
 
Aisee Mabesi na Libondo ilikuwa habari ya mjini. Hata kama hukuwa shabiki wa masumbwi ulilazimika kuwajua.

Kweli mji ulikuwa mdogo. Imagine pale Kisutu ndo ilikuwa stand ya mabasi ya mikoani enzi hizo magari yanasafiri usiku. Sasa hivi hata taxi zinapajaza na nyingine zinakosa pa kupaki.

Si utani zilikuwa siku nzuri sana za kukumbuka.

Usisahau na stand ya mnazi mmoja safari yangu ya kwanza kuvuka mpaka nilikuwa naenda Blantire Malawi nilipanda pale basi la Tawaqal.
 
Hapa kila mtu anapiga stori yake mpwa...

Si unaona mpwa ODM anakumbushia enzi zake hapa tauni, enzi za Embassy Hotel, Magoti, ukitaka kutikisa nyonga unasogelea DDC Mlimani au La Prima...

Enzi hizo Gogo Hotel ndio kiota cha maraha pale Morocco lilipo sasa jengo la Airtel...

Ukitaka kutazama mchiriku unakuja hapo ilipo ofisi kuu ya Zantel na jioni kidogo unajongea pale maandazi road uwanja wa magunia kuwacheki kina Tigana, Kasongo Athuman etc wakipiga ndondo...

Kwa wale wapendai michezo ya pikipiki walikuwa hawakosi events za urushwaji pikipiki pale ulipo uwanja wa Biafra...

Na wale wapenzi wa kikapu nani alikuwa anakosa gemu za kikapu pale Tanesco unakutana na kina Muhogo Mchungu, Pat Nyembela, John Ntambwe 'wa Mafuta' (R.I.P) , Dudu (R.I.P) etc

Karibu kwenye team vibabu umejipatia uanachama moja kwa moja.

Kuna mtu sijamuona siku nyingi humu ningetamani aje hapa Gang Chomba.
 
Last edited by a moderator:
Hapa kila mtu anapiga stori yake mpwa...

Si unaona mpwa ODM anakumbushia enzi zake hapa tauni, enzi za Embassy Hotel, Magoti, ukitaka kutikisa nyonga unasogelea DDC Mlimani au La Prima...

Enzi hizo Gogo Hotel ndio kiota cha maraha pale Morocco lilipo sasa jengo la Airtel...

Ukitaka kutazama mchiriku unakuja hapo ilipo ofisi kuu ya Zantel na jioni kidogo unajongea pale maandazi road uwanja wa magunia kuwacheki kina Tigana, Kasongo Athuman etc wakipiga ndondo...

Kwa wale wapendai michezo ya pikipiki walikuwa hawakosi events za urushwaji pikipiki pale ulipo uwanja wa Biafra...

Na wale wapenzi wa kikapu nani alikuwa anakosa gemu za kikapu pale Tanesco unakutana na kina Muhogo Mchungu, Pat Nyembela, John Ntambwe 'wa Mafuta' (R.I.P) , Dudu (R.I.P) etc

Ooh so this is HOT kabisa...mpwa na yale mambo yetu usisahau..mi.nakmba nifoji umri kama miss tanzania nimezaliwa enzi ya internet hapa naona giza tu...
 
Hapa kila mtu anapiga stori yake mpwa...

Si unaona mpwa ODM anakumbushia enzi zake hapa tauni, enzi za Embassy Hotel, Magoti, ukitaka kutikisa nyonga unasogelea DDC Mlimani au La Prima...

Enzi hizo Gogo Hotel ndio kiota cha maraha pale Morocco lilipo sasa jengo la Airtel...

Ukitaka kutazama mchiriku unakuja hapo ilipo ofisi kuu ya Zantel na jioni kidogo unajongea pale maandazi road uwanja wa magunia kuwacheki kina Tigana, Kasongo Athuman etc wakipiga ndondo...

Kwa wale wapendai michezo ya pikipiki walikuwa hawakosi events za urushwaji pikipiki pale ulipo uwanja wa Biafra...

Na wale wapenzi wa kikapu nani alikuwa anakosa gemu za kikapu pale Tanesco unakutana na kina Muhogo Mchungu, Pat Nyembela, John Ntambwe 'wa Mafuta' (R.I.P) , Dudu (R.I.P) etc

mpwa tanesco kikapu mbona juzi sana....sisi tulianzia pale gymkhana nje ambapo sasa hivi wamejenga SHERATON/MOVENPICK/SERENA.....wapi SALEHE ZONGA???
 
usisahau na stand ya mnazi mmoja safari yangu ya kwanza kuvuka mpaka nilikuwa naenda blantire malawi nilipanda pale basi la tawaqal.

mi nilivyoingia mjini kwa mara ya kwanza nimeshukia stand ya kisutu!!!
 
Hapa kila mtu anapiga stori yake mpwa...

Si unaona mpwa ODM anakumbushia enzi zake hapa tauni, enzi za Embassy Hotel, Magoti, ukitaka kutikisa nyonga unasogelea DDC Mlimani au La Prima...

Enzi hizo Gogo Hotel ndio kiota cha maraha pale Morocco lilipo sasa jengo la Airtel...

Ukitaka kutazama mchiriku unakuja hapo ilipo ofisi kuu ya Zantel na jioni kidogo unajongea pale maandazi road uwanja wa magunia kuwacheki kina Tigana, Kasongo Athuman etc wakipiga ndondo...

Kwa wale wapendai michezo ya pikipiki walikuwa hawakosi events za urushwaji pikipiki pale ulipo uwanja wa Biafra...

Na wale wapenzi wa kikapu nani alikuwa anakosa gemu za kikapu pale Tanesco unakutana na kina Muhogo Mchungu, Pat Nyembela, John Ntambwe 'wa Mafuta' (R.I.P) , Dudu (R.I.P) etc

Hahahaha aisee we mtu........

Hatare sana shehe... Pale ilipo Serena hotel vijana wamesakata basket ball sana enzi za Vijana na Pazi. Siku hizi sijui basketball inachezewa wapi... hata hamu yakwenda kuangalia ishaisha.
 
Back
Top Bottom