sr bachelor
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,198
- 798
Huyu mwanamke Nyumba Kubwa nimemkubali sana...ndo maisha ya sikuhizi yanavyotakiwa yawe msimamo..hahaaaaa!!!hamna bwana
binafsi nimemkubali NYUMBA KUBWA jina linasadifu yaliyomo
ameonyesha dhahiri msimamo wake bila kuyumbayumba
Na ndo tunawaambia hawa watoto kuishi kinondoni hapo uswahilini sio ndo wanajua chochote..watoke(wakiweza) na sehemu nyingine wapate exposure..i don' t know why they think kuishi uswahilini hapo kinondoni ni ujanja..?!!!Ghafla nimekuwa na ndoa tena?????
Keep on guessing...
Na umenisaidia nijibu yale ambayo nili overlook...
Unasema simuwezi Lara1 kisa ni mtoto wa Kino?
Wewe dar unaijua?
Kino ni kisiwa cha mtu mmoja?
Kama unaishi Dar utakuwa umeletwa na mbio za mwenge si bure...
Nyie watu dizaini mna shida sana, umeshakimbilia mpaka akaombewe dah..!!Pole sana, ninashukuru nimekufahamu mind yako kupitia huu uzi, nilikuwa najua unaheshima sana kume hamna kitu, ila utakuwa na tatizo , na umeamua kumalizaia hapa hasira zako hata kwa watu ambao hawahusiki, mm nilkuwa nataka kukusihi uache kubishana nao, naona umeamua kujibizana nami, tafadhali mm nina amani ya moyo na roho, kazi kwako wewe , inaonyesha una matatizo makubwa, nenda kaombewe upate amani.
Hizi mentality embu ziondoeni ..kukulia kinondoni ndo nini..!? Kukulia kinondoni hakukufanyi ujue chochote zaidi ya mambo ya ajabu ajabu tu..acheni kupeana hizi cv zisizo na kichwa wala miguu..Na ukiamua kushindana na watoto watakutukana na wewe unakazana kurudisha ni lazima watakushinda tu, maana yeye ana moja wenzake wana mia moja, nashangaa sana anataka kushindana kuongea na Lara1, mwenzie kakulia kinondoni anajua mitaa yoooote, na njia zoooote, sasa sisi watuwazima na wahamiaji usibishane na mwenyeji.
Hapo sasa!
Sipendi kabisa watu wanaojifanya wanajua watu wakati hawajui chohcote.
Halafu wakizidiwa hoja wanajifanya kumzushia mtu uongo yani tabia za kipumbavu kabisa.
mmmmmh
Unan'chekesha na vi ID vyako vya kishamba utakuja na Ushuzi wako wa kila aina bado utajulikana tu,bora ubadili tabia lakini si ID,wajanja wanacheza nazo kwa stepu,we unakuja na style ya Ngedere porini.Mfyuuuuuu akuchezee akili yakoo ili kiwe nn don't be stupi.d
Acha kuchezea watu akili na multiple ID wewe ndo Tumboo
Bora umemsaidia kuguna maana watu wanakurupikia watu vibaya hata kama ni multiple ids cjui kina muuma nn.....yan kuna watu jf wana wivu wa kijinga cjui n kwa nn
Unan'chekesha na vi ID vyako vya kishamba utakuja na Ushuzi wako wa kila aina bado utajulikana tu,bora ubadili tabia lakini si ID,wajanja wanacheza nazo kwa stepu,we unakuja na style ya Ngedere porini.
Eti wivu nakujua?
Mfyuuuuuu akuchezee akili yakoo ili kiwe nn don't be stupi.d
Ha ha ha ha umenichekesha sana yani mi niwe Tumboo tena mbona si elewi@Tumboo hebu njoo uku nakuitaji my cousin
...as you said ''ganstar keyboard''...she scripts what she advocates very skillfully....but does it casually..
OTHERS ARE JUST FOOTSOLDIERS FOLLOWING LIKE HEADLESS CHICKENS.....
Ka unaskia kichefuchefu njoo unuse kwapa la beberu ili kiisheee hata nikiwa na id kumi haikuhusu na ww sie ulieninunia sm
Huyu mwanamke Nyumba Kubwa nimemkubali sana...ndo maisha ya sikuhizi yanavyotakiwa yawe msimamo..
Ka unaskia kichefuchefu njoo unuse kwapa la beberu ili kiisheee hata nikiwa na id kumi haikuhusu na ww sie ulieninunia sm