MMU hot talk

Una miaka 23...tuombe uzima..baada ya miaka 7 njoo hapa utupe feedback ya maisha yako...
Ewaaaaaa ......

Hata kama hatakuja hapa mziki ataujua tu,anadhani wanaokuja hapa na kutafuta "mume yoyote' hawakuwa na mawazo kama yake na pengine msimamo mkali kuliko huo wake

Uhalisi ni k inyume sana na yale ambao hawa mabinti wanakuwa wanawaza na kujidanganya
Naona unavyotabasamu unapojipa moyo kuwa ndoa ya nyumba kubwa ni ndoano...endelea kuomba kwa shetani wako labda itakuwa hivyo...ila sidhani kama ana nguvu kuliko Mungu...
Hii nimeipenda sana ....

Lakini hapo usingesema "sidhani' bali ungesema "nina uhakika"!
 

Baada ya hiyo miaka 7 siutakuwa umekuwa bibi???? Bado utaendelea kuwemo humu badala ya kulea wajukuu??????

Kila siku lara 1 anauliza humu mabibi above 40 iko wapi happy ending yenu yakujitunza mnakanyagana..
Embu nipumulishe mwana wa mwenzio.
 
Last edited by a moderator:

Well UADUI UPO TEMPORARY KWENYE MADA HUSIKA! NO RETREAT NO SURRENDER! Page ya 30 KILA MTU AME HOLD GROUND! HUONI REPUBLICANS WAMEANZA KUONGEA KWA MAFUMBO NA GENERALIZATIONS! Hahahaaaaaa!

Naomba Ijumma HOT TALK ianze mapema!
 
Naunga mkono hoja yako mkuu....halafu anajitia ni tough woman wakati anasubiri mke wa jamaa ampe hisani ya kumpa mume nae ashee...kumbe ni kadhaifu tu hakawezi jenga vitu vyake kenyewe...hawa keyboard ganstars bana

Hahahahaaaaaaaa ......

Hivi mkuu unatumiaga koka au pepusii??

Umenifuarahisha sana aiseee!
 

Kabla hatujarudi kuhesabu idadi ya dhambi za zilizotendwa na za kufikirika naomba nijibu hiyo ishu ya ulinzi.
Kati ya angelita na mume ni nani anayepaswa kumlinda mke wa mume?
Je ni nani ana kiapo cha Mungu cha kumlinda mke?
Jibu hili maana naona ulikuwa unalikwepa kwa kulitolea maelezo marefu.
 
jf superstars hujui wapo..?
I tend to believe kuna characters zina attitude za kishule ya msingi humu.!!!!
 
kambales...mama hajulikani baba hajulikani....

REPUBLICANS MTAONGEA SANAA INA RIDDLES AND PARABLES!

Hate the game and not the playerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr! Hahahahaaaaaaaaa! Kama nakuona vile!
 

Asakuta sio hofu watu wanakuwekea....noo...u get it wrong...ishu ni tuwe careful tusiwaumize binadam wenzetu...kwenda kuchukua mume au mke wa mtu sio sawa,unaumiza watu kibao......hizo principle unazozisimamia zisiwe za kuonea watu with no reason
 
You wish...tukitembea barabarani mimi na wewe ...utaamkiwa mimi nambiwe mambo...

Na mipombe na starehe mnazoendekeza bado mnajiita vigoli?

I am proudly 39...lakini ukiniona kusema Gabrielle vile...unalo hilo...utazeeka mimi niko pale pale...

Unadhani kulea waume za watu kazi ndogo...

SIjawai danganya umri wangu kama wanawake wengi sababu najua napata compliments whenever I mention my age!!!!


Baada ya hiyo miaka 7 siutakuwa umekuwa bibi???? Bado utaendelea kuwemo humu badala ya kulea wajukuu??????

Kila siku lara 1 anauliza humu mabibi above 40 iko wapi happy ending yenu yakujitunza mnakanyagana..
Embu nipumulishe mwana wa mwenzio.
 
I did not know PEOPLE WERE SUPPOSED TO LOVE PEOPLE FOR A REASON! I though people should love for no reasons!

AND THIS WAS SO MUCH FUN WHEN WE WERE TALKING ABT THE TOPIC MAYBE YOU SHOULD STICK TO THE TOPIC DONT YOU THINK?

...there you go....no Matola as a back up this time..he ruined it and made me to go off topic.....
back to topic-find your man...a single one...not for the married guys....
 

Asakuta wote wanamakosa...huyo baba anatakiwa awe makini zaidi ila huyo dada anatakiwa aplay part yake kuleta difference....usilete blame game hapa kama excuse.
 
Baada ya hiyo miaka 7 siutakuwa umekuwa bibi???? Bado utaendelea kuwemo humu badala ya kulea wajukuu??????

Kila siku lara 1 anauliza humu mabibi above 40 iko wapi happy ending yenu yakujitunza mnakanyagana..
Embu nipumulishe mwana wa mwenzio.

AOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOCCCCCCCCCCCCCCCCHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHH! HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!

GIRL YOU IS REALLY BAD! Point lakini 7 years aint a joke! Ill be 37, old as shit! 40 is where we are all heading anyway!

AND THE HAPPY ENDING AINT COMMING ANY TIME SOON!

HILI JIBU LAKO MALAIKA LINAITWA SETTING EXAMPLE!
 
lara 1 njoo unisaidie kujibu hapa mikono imevimba siunajua toka juzi nipo hapa.
 
Last edited by a moderator:

Mkuu kwanza kuwa mume wa mtu ni heshima kubwa sana labda tu kwa ambae hajui,lakini pia kuwa mke wa mtu ni heshima kubwa sana labda kwa ambae hajui

Kama wewe ni mume wa mtu halafu un akwenda kuvua suruali yako ni aibu kubwa sana
Kama wewe ni binti ambae unadhani unajiheshimu halafu unakwenda kushusha nguo yako ya ndani hovyo kiasi hiki jua wewe ni wa hovyo sana

Hapa kila mtu anatakiwa ajilinde na utu wake na sio kugeuka kuwa mbuzi ambae yeye anapanda kila jike au anapandwa na kila dume lin alopita mbele yake!
 
...there you go....no Matola as a back up this time..he ruined it and made me to go off topic.....
back to topic-find your man...a single one...not for the married guys....
Mkuu, kwani honorable Matola amewowa? Na hichi ni ki concubine tu? Teeeh!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…