MMU hot talk


Hahahahaaaaaa..... Wenzio walisema na bado wanasema na waume zao bado wapo na vimada kwenye viti virefu wakitoka hapo wanaenda kustareheka akichelewa kurudi kwake saa2 usiku mke anasikia raha dadeki.

Mama tulia ulee wanao ushauri peleka kwa ndugu zako watakushukuru sana. Hapa tuliza mshono wako usije kuachia.
 
If that makes you happy...

Lakini comments zangu zooooooote umesoma...na nina hakika asilimia 3000 unazifanyia kazi...

Kama nakuona vile ulivyonuna...

Usijali...ukweli siku zote unauma..utazoea tu...yatapita..kuna na kesho...


 
Tunalitambua hilo ndomana tukaileta hapa watu kama wewe mtokwe mapovu.

Nyie endeleni kuongea na kubishana hapa, mwenzenu bwana ninaye pembeni namkuna kidevu, hapa tunasubiri watoto wamalize kusuka tuwapeleke kula ice cream chezea mama mdogo wewe.

Concubines are actually good at that. Keep up the good work..!
 
Angelita ni dada mzuri tu sema umechagua kua plan B ya huyo jamaa,kwahiyo u will always be number 2 kwenye hiyo love triangle...infact upo sahihi,umechagua unachokitaka,basi suck it up small soldier!

Hahahaahahahaaaaaaa, nimecheka hadi hubby kashituka ikabidi nimuoneshe nayeye acheke.
 

Sasa dada Angelita unaona kua Kimada ni sifa kubwa eeee?Nishaanza ku doubt your judgement kwakweli
 

Mimi likizo nimemuingiza charismatic so fellowship kibao, jioni anatafuta somo la usiku na kutuchambulia. Simu no access maana the world is so scary.
 

Ok! Hilo mimi ndiyo nimelijua leo aksante kwa kunifungua macho.
Katika watu ninaowaheshimu sana humu MMU na wewe ni mmojawapo na sijawahi kunote km kuna kitu km hicho kinaendelea kwa upande wako.
Huwa nacomment very independently , sina tabia ya kufuata mkumbo au nani anasema nini , kama nimekuwa nakukera na ukachukulia personally very sorry hivyo ndiyo jinsi nilivyo na huwa nasimamia niaminicho.
Pole sana , ninakuweka unapostahili ndugu usipate shida.
 
Mimi likizo nimemuingiza charismatic so fellowship kibao, jioni anatafuta somo la usiku na kutuchambulia. Simu no access maana the world is so scary.

Usinione humu niko kihasara hasara...kila siku ni sara mashetani yako kila kona...
Juzi mwanangu wa 6 years alikuwa anaongoza sara mpaka nilitabasamu anamwomba Mungu amsaidie na mdogo wake wapate 100 mitihani yote...

Nikasema yes...nimefanikiwa kuwafanya watoto wajue kimbilio lao ni nani...

Hata nikiwa mbali..lazima tusali thru skype...
 
If that makes you happy...

Lakini comments zangu zooooooote umesoma...na nina hakika asilimia 3000 unazifanyia kazi...

Kama nakuona vile ulivyonuna...

Usijali...ukweli siku zote unauma..utazoea tu...yatapita..kuna na kesho...

Labda nikuambie kitu kimoja siishi kwakutumia akili ya mtu mwingine, nafanya kile ambacho nakiona kwangu kina faida na akili yangu inanituma kukifanya.

Ninune kwakipi hasa hahahaaaaaa nafurahia jumapili yangu na watoto wa hubby sina shidaaaa.
 

Lara1 ulisema una umri wa miaka 30 eee?.....twende na practice ya bongo ladies ya kupunguza kma 2 yrz minimum..kwahiyo una miaka zaidi ya 32?..
 
Last edited by a moderator:

uhu hu hu huuuu umenichekesha asee..! m shabiki jina tu .......teh kwaheriniiii
 
Labda nikuambie kitu kimoja siishi kwakutumia akili ya mtu mwingine, nafanya kile ambacho nakiona kwangu kina faida na akili yangu inanituma kukifanya.

Ninune kwakipi hasa hahahaaaaaa nafurahia jumapili yangu na watoto wa hubby sina shidaaaa.

Ameshakua "Hubby" tayari?Ushafunga nae ndoa officially?....mama mbona fasta ivoo?ukiona mtu anajivika vyeo bado hajapata basi kuna udhaifu anaficha,come clean
 
Unaniongelea Mimi?
Kwa maana pale umequote reply ya mtu aliyonijibu mimi , ni vizuri ukawa muwazi.... Kwani mtu akikuona wa nini wewe inabidi umuone wa kazi gani.....
Nasubiria majibu.

Hahahaaaaaaaaaaaa! HIO INAITWA CHICKEN OOOOH DEAR!!!!!
 

hahaha..eti REPUBLICANS...umesahau katika house of representatives democrats are201 and republicans 234... Nota bene
 
Lara1 ulisema una umri wa miaka 30 eee?.....twende na practice ya bongo ladies ya kupunguza kma 2 yrz minimum..kwahiyo una miaka zaidi ya 32?..

make it 40yrs IF IT WILL MAKE YOU SLEEP AT NIGHT!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…