MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

duuu...mie ndukiii. Naogopa ushahidi.

Hellow neggirl.. come to the excellent point my di. here you will stay. close your eyes! open your lips! direct them on mine.. you are welcome!
 
jamani mambo gani sasa haya
ya kuchezeana hisia? mtoto mrembo kabisa mango
g
kampenda bazazi Jipu! ona sasa
kamtenda!!! Window7 nae naona antivirus hana
kabisa! mi naona nitumie ubuntu bana!
J.lee umeona uchumba ulivyovunjikia stesheni?
yani hata safari haijaanza jamani!

kikongwe Asprin njoo uteme nasaha zako! afu
uache uswahili hapaa.. hatutaki maneno ya kenye kanga!!!

Excel nimeona mwenzangu we mwache Window 7 utu uzima dawa unaona mi na babu Asprin mambo ye2 taaratibu.
 
Last edited by a moderator:
Excel nimeona mwenzangu we mwache Window 7 utu uzima dawa unaona mi na babu Asprin mambo ye2 taaratibu.

we nae unazingua bana! mi sijamindi ulivyofanya wala nini! hiki kibabu kimekwangua wangapi bana halafu na wewe unajipeleka? ina maana hao vijana wenzio unaowaruka wana nini?

umeniboa bana!!
 
Back
Top Bottom