Prince Akeem
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 886
- 382
Nasubiri mkate tamaa na mimi niendelee nilipoishia kwa Diha.
Diha twende kanisani au mskitini tukakeshe?
Diha twende kanisani au mskitini tukakeshe?
Ni fursa juu ya fursa shemeji. Leo wap shemeji na babu.
Heeeeeeh. Kesto lite ni soda kubwa sio bia bebi.
Afadhali yako shemejii.. Under 20 jana kagoma kutoka hapa nabembeleza leo twende hata pale kwa Kinyaiya ili akizidiwa na vinywaji tulale pale Landmark..:smile-big:
si umeona mtanange hapoJipu na wewe!
Diha mbona hivyo jamani.
2likua calabash n babu.
Babyto usipende kutoa siri za chumbani. Wanga wengi.
nipe 7bu 10 za kukupenda chapombe ww
Babyto usipende kutoa siri za chumbani. Wanga wengi.
hta ww mwanga babu ndo mana umewajua wanga wenzio