Fanya hivyo hapa kwangu laki si pesa.
Mtoto yuko kwangu diha.
Asante nimeamini kweli mpango si matumizi
Asanteeee so best walia wapi wewe nikaribie?
Namuonea wivu Asprin. Kila king'aacho chake. Hebu tukumbukeni nasie jamani.. Lol!
besti umebakiza post tisa tu..!
niko tu besti nimejilaza kitandani kwangu. karibu sana usiogope chochote! kuwa huru kabisa! feel free!
Post tisa za nini tena best?
Si umeona mwenyewe anavyosmile kila akisikia jina tu. Usipomuona hpa ujue yuko chumbani
Mara hii chumbani? Afanya nini tena huko? Au ndo anakusubiri la aziz wake wa hiari?
Asante best ila nisije pigwa tu na wahusika
Ndio hivyo. Ila achana na babu ana nyumba nyingi.
aaah! ukiwa na mimi jihisi kama uko zaidi ya nyumbani! more than eden garden, usalama upo always!
we ruka tu kwa bedi ule kichuri kwa raha zako!
bado sita... uwe jf senior expert member!
ntakuwa wa kwanza kukushika mikono na kukuvuta kwangu!