mh!nakupenda pia Asprin wangu jaman nawe ulale salama ila hyo ***** mh!ngastuka maana we nae una mambo.
Unajua utamu wa under 20 wewe? Afadhali uende tu huyu niachie.
Unajua utamu wa under 20 wewe? Afadhali uende tu huyu niachie.
hahahah we baki na embe dodo lako, wenzio tushajipatia zabibu zetu.
jamani mambo gani sasa haya ya kuchezeana hisia? Mtoto mrembo kabisa mango g kampenda bazazi jipu! Ona sasa kamtenda!!! window7 nae naona antivirus hana kabisa! Mi naona nitumie ubuntu bana!
j.lee umeona uchumba ulivyovunjikia stesheni? Yani hata safari haijaanza jamani!
Kikongwe asprin njoo uteme nasaha zako! Afu uache uswahili hapaa.. Hatutaki maneno ya kenye kanga!!!
Mbona sielewi kinachoendelea hapa
Jipu si uliniahidi hutarusha taulo? ni nini hii?
khaaaaa! wazee wa humu hawafai kisa wameona mie kijana mbichi basi wamemuonesha fedha za mafao basi mtoto mpaka muda huu hana direction wapi aende namimi ndo naogopa siri ya ndani