MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

Mkuu, kwanza nisikupongeze kwa jambo ulilofanikisha!

Unajisikiaje kutumia product iliyopitia kwa four channel of distribution?

Jobber, retailer, middlemen hawker mpaka ww consumer ndo unaipata?

Nimemchukua under 20. Hao wengine washika pembe tu.

Cc diha mango g
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kwanza nisikupongeze kwa jambo ulilofanikisha!

Unajisikiaje kutumia product iliyopitia kwa four channel of distribution?

Jobber, retailer, middlemen hawker mpaka ww consumer ndo unaipata?

Hii ni brand new product.
 
Dah. Bebi jitahidi twende ukapate hata ka kesto lite ili nikuone ukirembua..

mwanaume pepo ww! sasa nmeamin kama ww ni mlevi! bora niwe single kuliko kua na ww kunguni wa kilabuni
 
jaman diha mbna upo ka haupo lakin!

Mwee kama mambo yenyewe ndio haya na mie natangaza nia, kule kwetu kusini kuna gesi nyingiiii ntakupa kitalu kimoja na hati miliki juu, kama hutaki kuishi bongo twenzetu dubaiiiii au unasemaje mama mango g?
 
Last edited by a moderator:
we nae unazingua bana! mi
sijamindi ulivyofanya wala nini! hiki kibabu kimekwangua wangapi bana
halafu na wewe unajipeleka? ina maana hao vijana wenzio unaowaruka wana
nini?

umeniboa bana!!

eh!mi vijana ctak mwenzangu stress 2pu bora Asprin wangu kashakula ujana ukicheche nou.
 
Last edited by a moderator:
Mwee kama mambo yenyewe ndio haya na mie natangaza nia, kule kwetu kusini kuna gesi nyingiiii ntakupa kitalu kimoja na hati miliki juu, kama hutaki kuishi bongo twenzetu dubaiiiii au unasemaje mama mango g?

Tengua kauli kijana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom