MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

Thanks best hicho kichuri ndo chakula gani tena?

Besti kichuri ni chakula kimoja classic sana!

hicho unakila kama tunda hivi baada ya kupata heavy meal! its vere vere switie!
 
Mbona huyu mgeni umemkaribisha hivi kunani hapa.

haa!! kwani mi kumkaribisha neggirl kwa mioyo miwili kuna ubaya?

jamani watu weshaanza kuhisi kwamba ni mpenzi wangu! dah.. ila inaweza ikawezekana!
 
Last edited by a moderator:
j.lee ni mdada hunie ni nymba ndogo wa asprin, jipu na windo ndo napiga ana ana do sasa hv ila kama nampenda penda windo...!

Hapo swafiiii. Nipe account no yako ya bank chap nikurichmond.
 
Umejuaje kuwa nakupenda? Nisije jishaua nakupenda kumbe una mamsap hapa mana mambo ya JF naona kila mtu ana wake

Namuonea wivu Asprin. Kila king'aacho chake. Hebu tukumbukeni nasie jamani.. Lol!
 
Hivyo eehh!!! Sikujua ati kumbe Asprin ana nyumba ndogo, Window7 kam zis way under 20 mikopa imeanza kumzunguka kwako bahati ya mkenge hiyo ati

Hata me naona mtoto katua kwangu huyu. Ukiweza kumshawishi atangaze ndoa nitakuandalia zawadi unono bestisho.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom