Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Unajua kuna wazalendo wanaoaniaka maovu ya ccm na TISS labda wameanza kuwauwa...Wang'oa kucha nao yanawapata sasa eeh? Majanga!
Unajua kuna wazalendo wanaoaniaka maovu ya ccm na TISS labda wameanza kuwauwa...Wang'oa kucha nao yanawapata sasa eeh? Majanga!
Pindi ukivunja masharti (code) wao wenyewe wanakumaliza. Walihisi ni mvujishaji wa habari kwa CDMni kazi ya nani?ni kazi ya ndani au nje?
All in all rest in peace comrade!
ungemaliza tu kabisa kwa kumuuliza huyo jamaa yako.Wakuu,yule jamaa aliepigwa risasi wiki hii hapa Dsm maeneo ya Tegeta,inasemekana ni usalama wa taifa!
Huyu jamaa alipigwa risasi 3 kifuani na watu wasiojulikana wakati anaingia Gerage na hakuporwa kitu chochote (itv habar Ijumaa) .Kwa habar nlizopata,huyu jamaa alikua usalama wa taifa hadi mauti yanamkuta.
Huyu mtu ni mkazi wa Moshi-majengo-miembeni karibu na baa iitwayo MotherLand! Mwenye ripoti zaidi atupe au ntakuja tena baadae.
Source: jamaangu yuko Moshi .
Dar er salaam mda siyo mrefu itakuwa siyo sehemu salama ya kuishi. Umafia unazidi kuongezeka
Ni nani huyo mtu nyeti?
Kama ni wa Tiss sometimes hao wanauwana wenyewe kwa wenyewe, eti kwa sababu za kiusalama!
Unajua kuna wazalendo wanaoaniaka maovu ya ccm na TISS labda wameanza kuwauwa...