Mmoja auawa kwa risasi huko Tegeta

Mmoja auawa kwa risasi huko Tegeta

Na kama ni mapambano ndani ya UWT basi hakuna upelelezi wowote utakaofanyika, take it from me. Yule aliyetiwa kisimani polisi walifanya uchunguzi?

Polisi watachunguza tu iwapo CDM ni wahusika, na au baada ya kuamriwa kufanya hivyo na Njemba.
 
Kwa Mujibu wa ITV kipindi cha Hapa na Pale saa 12 leo jioni. Amepigwa risasi na watu wawili waliokimbia na boda boda.

Mtangazaji kasema ni mtu kutoka taasisi nyeti serikalini kutokana na kitambulisho chake mashuhuda walichokiona.
.....aisee hivi Taasisi nyeti Serikalini ndo ipi hiyo!!!!!!!!!!!!,
kumbe ndo maana baadhi ya watumishi wa serikali wanapokua wanalalamika maisha kuwa magumu wengine humohumo wanachekelea kwa sababu ya unyetiee...!!!, zama za ukweli na uwazi kumbe zilishaisha siyoe!
 
Eti Idara Nyeti!
Hawa waandishi ndio wanawafanya wafanyakazi wa baadhi ya idara wawae matapeli na kurubuni watu kwa kichaka cha kuwa wanafanya kazi Idara nyeti!

Mi nijuavyo taasisi nyeti ni IDARA YA KILIMO NA CHAKULA.
 
Nchi iko salama!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Jana jioni nilikuwa kituo kikubwa cha polisi... Ni kweli Jamaa ni alieuwawa yupo sehem nyeti tena nyeti kweli kweli... Sasa sijui ndio huko TISS au?
 
huu uhalifu wa kutumia boda boda naona unaonekana kuota mizizi sasa. vyombo vya dola vijipange kisawasawa. wale askari maarufu tigo wanawajibika ipasavyo?

wale ambao wanakagua magari tu?
 
Wakuu,yule jamaa aliepigwa risasi wiki hii hapa Dsm maeneo ya Tegeta,inasemekana ni usalama wa taifa!
Huyu jamaa alipigwa risasi 3 kifuani na watu wasiojulikana wakati anaingia Gerage na hakuporwa kitu chochote (itv habar Ijumaa) .Kwa habar nlizopata,huyu jamaa alikua usalama wa taifa hadi mauti yanamkuta.
Huyu mtu ni mkazi wa Moshi-majengo-miembeni karibu na baa iitwayo MotherLand! Mwenye ripoti zaidi atupe au ntakuja tena baadae.
Source: jamaangu yuko Moshi.
 
Dah! washaanza kuuana...
anyway TISS ndivyo ilivyo...
 
Mungu amewalaani kwa mabaya yote waliyowafanyia watanzania wanyonge kama ULIMBOKA, MWANGOSI, KUBANDA na wengine wengi, sasa damu za wanyonge hawa zinawalilia na sasa wataangamizana wenyewe kwa wenyewe kwa migogoro yao ya kimaslahi mpaka waishe!
 
ni kazi ya nani?ni kazi ya ndani au nje?
All in all rest in peace comrade!
 
Hii taasisi kwa kweli imeshindwa kufanya kazi yake.imeingia kwenye siasa.Kwa kweli tuwang'oe ccm haraka sana.halafu tuisuke TISS vizuri sana hisiwe upande wowote.Mungu ibariki Tanzania
 
Lazima kuna kitu/tukio alilifanya dhulma usaliti mbaya.
 
Back
Top Bottom