Hii inatokea mida hii huko Tegeta Dsm,wakati polisi wakifanya opetesheni ya kuondoa magari maeneo hayo,eti raia wanawazuia! matokeo yake risasi zmeshaleta madhara kwa nn msiwaache polisi wafanye kazi zao?
Kuna kitu kinaitwa "proportional" ,Hii inatokea mida hii huko Tegeta Dsm,wakati polisi wakifanya opetesheni ya kuondoa magari maeneo hayo,eti raia wanawazuia! matokeo yake risasi zmeshaleta madhara kwa nn msiwaache polisi wafanye kazi zao?
Moja kati ya kigezo bayana cha mtu mjinga ni kutoweza kuelewa " kwamba ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji kichwa". Ralphrider anajifanya kwamba yeye yuko katika kundi la wanaolindwa..uwezo wake wa kuelewa hamwezeshi kujua kesho atakua kama huyo kijana ambaye amepoteza maisha kwa sababu ya matumizi ya nguvu kuliko akili.pumba.... hivi unafurahia mauaji?? Mtu yuko dukani akifanya shopping, kosa lake liko wapi?
Kweli mkuu! lakini wanajua kama polisi wana mamlaka kisheria?
Kijana mmoja huko Tegeta amepigwa risasi ya moto na kufariki na wengine kujeruhiwa vibaya sana baada ya polisi kurusha risasi hiyo wakiwa kwenye operesheni ya kuondoa magari yanayopaki barabarani.
Kijana huyo alikuwa kwenye duka la magodoro akifanya manunuzi.
Chanzo: Redio One stereo(Renatus Mutabuzi) sasa hivi(saa 5 :20).
Sasa hivi kuna mtu kauwawa na polisi na watu wengine wamejeruhiwa, wasiwasi wagubikwa wasije wakasema kapigwa na kitu kizito, mwandishi Renatus wa Itv yupo eneo la tukio, juhudi za kumtafuta kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni ndg. Charles Kenyera zinaendelea
mwenye taarifa zaidi atujuze
nipo mbali sina picha.
Wana JF,
Where are we heading as a country? Why have we reached this stage of not valuing the right to life of our fellow citizens? Where have we gone wrong? Dont we know that the right to life is the right from which other rights depends? Why are we forgetting that every one is presumed to be innocent until proven guilty by a competent court of law?
As a country we need to hold responsible the individuals perpetrating such extra judicial killings (individual responsibility). If we do it, I am sure the members of the police force will hesitate carrying such brutal killings knowing that their fate, including their employment, will be in trouble. But the problem the country is facing is the absence of the person to "bell the cat", is it Mwema or Kikwete? Can Kikwete really make his brother in law (Mwema) responsible for the acts or omissions of Mwema and or his subordinates? Kikwete MUST go. The time is now
pumba.... hivi unafurahia mauaji?? Mtu yuko dukani akifanya shopping, kosa lake liko wapi?
Mkuu sibishani kabisa na wazo lako,lakini kwa nini kuwatunishia misuli? huoni mara zote anaeathirika ni yule asie na mamlaka? mwisho wa siku unapoteza uhai unaacha familia yako inateseka! kweli,wangepashwa kutumia risasi bandi lakini kwa nini tuwe tunawajaribu kila mara? why do have to come to that extent?!
.........Kwa kweli kuzuia
polisi kufanya kazi zao sio vema lakini... polisi wamejiwekaa doa kwa
jamii katika kufanya kazi zao... wanapotumia nguvu kubwa bila ya
sababu... kama swala ni kuondoa magari... hapo ilitakiwa elimu itumike
kwa wahusika... waelimishwe... wapewe muda... mabavu hayasaidii na wala
hayajengi ....... ni sifa mbaya kwa jamii.....
Mkuu sibishani kabisa na wazo lako,lakini kwa nini kuwatunishia misuli? huoni mara zote anaeathirika ni yule asie na mamlaka? mwisho wa siku unapoteza uhai unaacha familia yako inateseka! kweli,wangepashwa kutumia risasi bandi lakini kwa nini tuwe tunawajaribu kila mara? why do have to come to that extent?!
hivi unadhani hawa vijana na wazee wa ccp wanajua lolote juu ya hiyo red??? Ili kujua hiyo kitu inabidi mtu afikiri na hawa wenzetu kufikiri kabla ya kutenda kwao ni la mwisho kabisaKuna kitu kinaitwa "proportional" ,
Je nguvu waliotumia askari inalingana na nguvu ya madereva hao???
Kwa mdau yoyote anayejua haki za binadamu, hakuna sababu ya kutumia nguvu kubwa kupitiliza pale panapotokea mzozo baina ya askari na raiya.
Je raiya walikua wanatumia risasi za moto kupinga operesheni iyo??
Askari wamepiga risasi za nini mpaka wamemuua mtu aliyekua mbali na eneo la tukio(kwenye duka la magodoro)?.
Siungi mkono raiya kuzuia operesheni iliyokua inaendelea ila pia siungi mkono matumizi ya nguvu kubwa(risasi) yanayotumiwa na polisi dhidi ya raiya.
Watanzania wamezoea kupelekeshwa kama kondoo, ingekuwa ni Kenya tungesikia mengine mda huu.
Police akiuwawa mbna huwa hatuoni mbwembwe zenu..
Asante kwa matusi yako! ila uelewe kuwa mara zote siku hizi kumekuwa na kamtindo ka kupinga kali maagizo yanayotolewa na kusimamiwa na polisi, ili dhahama kama hii itokee mpate la kusema! kisa eti nguvu ya umma! we vp? mi sifurahii mauaji naomba unielewe,nachosema kwa nini watu wasitii sheria mara zote kuepusha vurugu?
Mkuu sibishani kabisa na wazo lako,lakini kwa nini kuwatunishia misuli? huoni mara zote anaeathirika ni yule asie na mamlaka? mwisho wa siku unapoteza uhai unaacha familia yako inateseka! kweli,wangepashwa kutumia risasi bandi lakini kwa nini tuwe tunawajaribu kila mara? why do have to come to that extent?!