mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,052
- 5,426
mamlaka ya kuua!!!!!!!!!! by CCMAJANGILIKweli mkuu! lakini wanajua kama polisi wana mamlaka kisheria?
mamlaka ya kuua!!!!!!!!!! by CCMAJANGILIKweli mkuu! lakini wanajua kama polisi wana mamlaka kisheria?
Ni kweli mkuu kabla ya kutumia excessive force kuna vitu vitatu vya kuangalia,1.Propotionality,2.Legality, na 3. Necessity. mi nakubaliana na wewe kabisa, hiyo ikichunguzwa marehemu atapata haki yake lakini tayari uhai kapoteza! Nachosema, hayo yalomkuta huyo kijana hapo ni Colleteral damage,ya watu waloanzisha vurugu hizo ambazo zimecost maisha ya mtu! My take,kwa nini watu tusijenge utamaduni wa kuheshimu dola?[FONT=comic sans <]Kuna kitu kinaitwa "proportional" ,
Je nguvu waliotumia askari inalingana na nguvu ya madereva hao???....
[/FONT]
Kweli mkuu,ila siku hizi kuna wrong perception kwa polisi! kila wafanyalo watu wanata kupima nguvu na uwezo wao! kweli kutumia risasi za moto ktk jambo kama hili ni ni Use of excessive force,sikatai! hatua zinaweza kuchukuliwa lakini ameshaathirika? kwa nini tusicomply na law and order? and then kama kuna complaints ni badae?
mkuu kwa nini dola isijijengee tabia ya kuheshimu raiya na haki za binadamu??Ni kweli mkuu kabla ya kutumia excessive force kuna vitu vitatu vya kuangalia,1.Propotionality,2.Legality, na 3. Necessity. mi nakubaliana na wewe kabisa, hiyo ikichunguzwa marehemu atapata haki yake lakini tayari uhai kapoteza! Nachosema, hayo yalomkuta huyo kijana hapo ni Colleteral damage,ya watu waloanzisha vurugu hizo ambazo zimecost maisha ya mtu! My take,kwa nini watu tusijenge utamaduni wa kuheshimu dola?
Kweli mkuu! lakini wanajua kama polisi wana mamlaka kisheria?
There we go again, jamani tukimbilie wapi?
Mkuu umesema kweli tupu!
.........POLISI:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Kweli mkuu! lakini wanajua kama polisi wana mamlaka kisheria?
hivi unadhani hawa vijana na wazee wa ccp wanajua lolote juu ya hiyo red??? Ili kujua hiyo kitu inabidi mtu afikiri na hawa wenzetu kufikiri kabla ya kutenda kwao ni la mwisho kabisa