M mama kokuu Senior Member Oct 11, 2012 131 22 Nov 30, 2012 #161 Tunatakiwa kuiondoa CCM madarakani tusiwe walalamikaji tu kila cku,ukifika wkt wa kupiga kura tuonyeshe hasira zetu.
Tunatakiwa kuiondoa CCM madarakani tusiwe walalamikaji tu kila cku,ukifika wkt wa kupiga kura tuonyeshe hasira zetu.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,808 93,466 Nov 30, 2012 #162 Arushaone said: watu8 umenikumbusha jama yangu aliyewahi kusema bora kuzaliwa marekani ukiwa mbwa than kuzaliwa TZ ukiwa mtu. nowdays ni DC na hasemi tena sasa!! Click to expand... chalii yangu we acha tu... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Arushaone said: watu8 umenikumbusha jama yangu aliyewahi kusema bora kuzaliwa marekani ukiwa mbwa than kuzaliwa TZ ukiwa mtu. nowdays ni DC na hasemi tena sasa!! Click to expand... chalii yangu we acha tu...