Hahaha! Kimey kwani una tatizo gani ? yule jamaa si anatibu umeme lol! nitaogopa kukupigia debe kwa Keren bana.On my way to
Loliondo hommie, we chelewa tu upako uishe utajibeba.
Hahaha! Kimey kwani una tatizo gani ? yule jamaa si anatibu umeme lol! nitaogopa kukupigia debe kwa Keren bana.On my way to
Loliondo hommie, we chelewa tu upako uishe utajibeba.
Mambo rafiki,ulivonisumbua kwa Lizzy itabidi tubanane hapahapa kwa AD lol!Kheeee Kheeee halafu wewe banaaa
Halafu nimesikia Loliondo sasa hivi kuna foleni ya magari kama ya DarOn my way to
Loliondo hommie, we chelewa tu upako uishe utajibeba.
Hivi Cheusimangala yuko wapi? Usiseme haujuiMambo rafiki,ulivonisumbua kwa Lizzy itabidi tubanane hapahapa kwa AD lol!
Kabanwa na job tunawasiliana kanipa uhuru wa kuwasumbua hapa JF sina mlinzi mie.Hivi Cheusimangala yuko wapi? Usiseme haujui
Si umeona leo jinsi watu wanavyopangana kule, asee tuwai mwana!Ahaaa ahaaaa Loliondo mzee lazima twende wote hommie unajua kule lazima twende crew ya uhakika ili tuvunje rekodi kabisa
Eheee eheee dah watu wanajua kutafuta mavumba dunia hii hommieSi umeona leo jinsi watu wanavyopangana kule, asee tuwai mwana!
Kabanwa na job tunawasiliana kanipa uhuru wa kuwasumbua hapa JF sina mlinzi mie.
Huu ni unyanyapaa sasa komredi, nani kakwambia watu kama hao hawaitaji love? BTW mchungaji wa loliondo amekua jibu! LolHahaha! Kimey kwani una tatizo gani ? yule jamaa si anatibu umeme lol! nitaogopa kukupigia debe kwa Keren bana.
Bora umesema wewe l.o.lNgoja Lizzy aone hapa
Hivi huyo bwana hawezi kutibu tatizo la uhaba wa umeme l.o.l au Mungu hajamuonyesha hiyo dawa ya umemeHuu ni unyanyapaa sasa komredi, nani kakwambia watu kama hao hawaitaji love? BTW mchungaji wa loliondo amekua jibu! Lol
Mambo Dena pole na kifungo hivi hujui Lizzy kanitosa amejibanza kwa CPU.Ngoja Lizzy aone hapa
Nimesikia wamemba serikali iwajengee flai ova, toka wazaliwe hawjawai ona gari nyingi vile!Halafu nimesikia Loliondo sasa hivi kuna foleni ya magari kama ya Dar
:a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13:nimesikia wamemba serikali iwajengee flai ova, toka wazaliwe hawjawai ona gari nyingi vile!
Kamanda Keren bado springi chikeni inabidi utafute wa aina yako muishi kwa matumaini lol!Huu ni unyanyapaa sasa komredi, nani kakwambia watu kama hao hawaitaji love? BTW mchungaji wa loliondo amekua jibu! Lol
Ha ha ha CPU kuna mahali niliona anatafutiwa keyboard ,mouse na screen.Mambo Dena pole na kifungo hivi hujui Lizzy kanitosa amejibanza kwa CPU.
Mh komredi hii sio plan B kweli, don't tell me you have some feelings to my girl Keren!Kamanda Keren bado springi chikeni inabidi utafute wa aina yako muishi kwa matumaini lol!
Yaani wewe kila mingo upo? Hebu waachie wenzakoMh komredi hii sio plan B kweli, don't tell me you have some feelings to my girl Keren!
Keren ni rafiki tu,hata baada ya kukupigia debe vile una wasiwasi na mimi ?Mh komredi hii sio plan B kweli, don't tell me you have some feelings to my girl Keren!
CPU ka copy & paste mashairi ya kidhungu sijui kutoka wapi Liz akaingia kichwa kichwa u kanti bilivu.Ha ha ha CPU kuna mahali niliona anatafutiwa keyboard ,mouse na screen.
Lizzy kaniangusha sana