Mr Alpha
Senior Member
- Jul 31, 2018
- 195
- 522
Kama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyata
Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu
Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3
Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.
Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu
Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3
Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.