A
Anonymous
Guest
Kuna jipu kubwa ambalo likiiva litaleta hatari kubwa sana pale mkoa wa kagera wilaya ya kyerwa.
Kuna jamii ya wasukuma imeenda wilayani humo inawahonga viongozi ngazi ya vijiji na viongozi wanawapatia maeneo ya serikali waishi na kuwapa baadhi ya maeneo binafsi ya wenyeji kwa ajili ya kilimo cha mpunga.
Wenyeviti wanapewa pesa ndefu sana na kuahidiwa pesa nyingine baada ya mavuno. Mwananchi yeyote anayelalamika anatishiwa maisha hatari.
Viongozi wa Serikali na chama wote wanajua hili ila wanasubiri jipu lilipuke kutokee ugomvi wa wananchi wenyeji na wageni ndipo wachukue hatua.
Mwenye dhamana aingilie kati.
Kuna jamii ya wasukuma imeenda wilayani humo inawahonga viongozi ngazi ya vijiji na viongozi wanawapatia maeneo ya serikali waishi na kuwapa baadhi ya maeneo binafsi ya wenyeji kwa ajili ya kilimo cha mpunga.
Wenyeviti wanapewa pesa ndefu sana na kuahidiwa pesa nyingine baada ya mavuno. Mwananchi yeyote anayelalamika anatishiwa maisha hatari.
Viongozi wa Serikali na chama wote wanajua hili ila wanasubiri jipu lilipuke kutokee ugomvi wa wananchi wenyeji na wageni ndipo wachukue hatua.
Mwenye dhamana aingilie kati.