menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
Kwenu wana jamvini naja kwenu kama kawa na mada hii hivi karibudi kumezuka tabia ya ajabu ndani ya ndoa wanawake wengi wamekua wakilalamika kuwa waume wao wamekua wakitaka mtindo wa kuruka ukuta yaani TIGO lakini pia huko U.S.A asilimia 40 ya wamerakani hufanya mchezo huo.mmmmh!! Jamani ni kipi kinapelekea watu kushabikia mtindo huu ambao ni kinyume cha mila na desturi za kiafrica??