Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,445
- 7,816
Shakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne.
Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India.
Masumin imekuwepo tangu mwaka 1985 na Mzee Sharikali amekuwa mchangiaji mkubwa kwenye Jumuiya ya Hussein, Dar es Salaam.
Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India.
Masumin imekuwepo tangu mwaka 1985 na Mzee Sharikali amekuwa mchangiaji mkubwa kwenye Jumuiya ya Hussein, Dar es Salaam.