TANZIA Mmiliki wa wa Masumin Stationaries, Shakirali Hassanali afariki nchini India

Shakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne.

Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India.

Masumin imekuwepo tangu mwaka 1985 na Mzee Sharikali amekuwa mchangiaji mkubwa kwenye Jumuiya ya Hussein, Dar es Salaam.

View attachment 1870986
Na hakuwa raia wa Tanzania? Naona anazikwa India.
 
Hawa huwa wanakuja kuchuma Tanzania na kujenga kwao. Sasa amefariki anazikwa kwenye mother land. RIP.
Masumin Stationaries ipo Bombay ?

Ni bora wanaochuma na kuleta ajira na products kuliko tunaowaona ndugu zetu lakini wanatuchuma/ kutunyonya na kutukamua with nothing to show for it

Om Shanti Mr Masumin


They Say its the White Man I Should Fear....., But its my Own Kind doing all the Killing Here....
 
Shakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne.

Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India.

Masumin imekuwepo tangu mwaka 1985 na Mzee Sharikali amekuwa mchangiaji mkubwa kwenye Jumuiya ya Hussein, Dar es Salaam.

View attachment 1870986
Stationery ya kwanza ya kisasa tz
 
Shakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne.

Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India.

Masumin imekuwepo tangu mwaka 1985 na Mzee Sharikali amekuwa mchangiaji mkubwa kwenye Jumuiya ya Hussein, Dar es Salaam.

View attachment 1870986
Ooh pole sana kwa wana familia, huyu mzee aliugua cancer muda mrefu sana
 
Nimejikuta nimekumbuka gazeti la Femina miaka ya 2003 hadi 2004 alijitokeza sana matangazo ya masumin interprises kwenye magazeti hayo! Hadi jina likakaa kichwani kwangu bila kupenda.
Masumin interprises....

R.I.P mjasiriamali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nini ten? Cov? RIP
Wahindi wajanja. Mtu kama huyu mwenye fedha atakuwa alishachanjwa siku nyingi sana. Itakuwa ni ugonjwa mwingine tu. Ajabu ni kuwa waswahili masnkini ndiyo wana wasiwasi na chanjo na wanaona zimetengenezwa ili kuwadhuru lakini wenye fedha wengi na hata viongozi wa serikali ni wengi walishachanja.
 
Nimejikuta nimekumbuka gazeti la Femina miaka ya 2003 hadi 2004 alijitokeza sana matangazo ya masumin interprises kwenye magazeti hayo! Hadi jina likakaa kichwani kwangu bila kupenda.
Masumin interprises....

R.I.P mjasiriamali

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaanza siku nyingi sana. Vifaa vya shule tena kipindi watu hawajajanjaruka alikuwa anauza vifaa kwa bei ya rejareja na jumla. Nakumbuka duka lake lilikuwa pale sokoni Kariakoo. Siku wakifungua shule palikuwa hapaendeki. Huyu na wafanya biashara wengine kama Mansoor Daya. Daya yeye ni wa siku nyingi kwenye madawa.
 
Wahindi wajanja. Mtu kama huyu mwenye fedha atakuwa alishachanjwa siku nyingi sana. Itakuwa ni ugonjwa mwingine tu. Ajabu ni kuwa waswahili masnkini ndiyo wana wasiwasi na chanjo na wanaona zimetengenezwa ili kuwadhuru lakini wenye fedha wengi na hata viongozi wa serikali ni wengi walishachanja.
waafrika wajinga! Mimi nitachanja na naanza mtafutano wa kuipata
 
Shakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne.

Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India.

Masumin imekuwepo tangu mwaka 1985 na Mzee Sharikali amekuwa mchangiaji mkubwa kwenye Jumuiya ya Hussein, Dar es Salaam.

View attachment 1870986
Huyu kumbe alikuwa ndiye mmiliki!!! Alikuwa anakuwepo pale dukani, kwani hii sura si ngeni!!!
 
Back
Top Bottom