Na hakuwa raia wa Tanzania? Naona anazikwa India.Shakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne.
Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India.
Masumin imekuwepo tangu mwaka 1985 na Mzee Sharikali amekuwa mchangiaji mkubwa kwenye Jumuiya ya Hussein, Dar es Salaam.
View attachment 1870986
Veve iko muzaliwa ya burundi?Akizikwa hata chini ya miamba wewe inakuhusu nini?
Akiwa raia hawezi zikwa nchi ingine?
Tanzanians are so ignorant mpaka it hurts my brains
Masumin Stationaries ipo Bombay ?Hawa huwa wanakuja kuchuma Tanzania na kujenga kwao. Sasa amefariki anazikwa kwenye mother land. RIP.
Stationery ya kwanza ya kisasa tzShakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne.
Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India.
Masumin imekuwepo tangu mwaka 1985 na Mzee Sharikali amekuwa mchangiaji mkubwa kwenye Jumuiya ya Hussein, Dar es Salaam.
View attachment 1870986
Huyu ni muislamu siyo wa kiberiti. Angalia jina lakeKwahiyo Leo wanamtia kiberiti? Maisha yako kasi sana.
Ooh pole sana kwa wana familia, huyu mzee aliugua cancer muda mrefu sanaShakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne.
Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India.
Masumin imekuwepo tangu mwaka 1985 na Mzee Sharikali amekuwa mchangiaji mkubwa kwenye Jumuiya ya Hussein, Dar es Salaam.
View attachment 1870986
Wahindi wajanja. Mtu kama huyu mwenye fedha atakuwa alishachanjwa siku nyingi sana. Itakuwa ni ugonjwa mwingine tu. Ajabu ni kuwa waswahili masnkini ndiyo wana wasiwasi na chanjo na wanaona zimetengenezwa ili kuwadhuru lakini wenye fedha wengi na hata viongozi wa serikali ni wengi walishachanja.Nini ten? Cov? RIP
Kaanza siku nyingi sana. Vifaa vya shule tena kipindi watu hawajajanjaruka alikuwa anauza vifaa kwa bei ya rejareja na jumla. Nakumbuka duka lake lilikuwa pale sokoni Kariakoo. Siku wakifungua shule palikuwa hapaendeki. Huyu na wafanya biashara wengine kama Mansoor Daya. Daya yeye ni wa siku nyingi kwenye madawa.Nimejikuta nimekumbuka gazeti la Femina miaka ya 2003 hadi 2004 alijitokeza sana matangazo ya masumin interprises kwenye magazeti hayo! Hadi jina likakaa kichwani kwangu bila kupenda.
Masumin interprises....
R.I.P mjasiriamali
Sent using Jamii Forums mobile app
waafrika wajinga! Mimi nitachanja na naanza mtafutano wa kuipataWahindi wajanja. Mtu kama huyu mwenye fedha atakuwa alishachanjwa siku nyingi sana. Itakuwa ni ugonjwa mwingine tu. Ajabu ni kuwa waswahili masnkini ndiyo wana wasiwasi na chanjo na wanaona zimetengenezwa ili kuwadhuru lakini wenye fedha wengi na hata viongozi wa serikali ni wengi walishachanja.
Usikariri, sio wahindi wote wanachomwa.Kwahiyo Leo wanamtia kiberiti? Maisha yako kasi sana.
Haa haa haaaa it hurts your brainAkizikwa hata chini ya miamba wewe inakuhusu nini?
Akiwa raia hawezi zikwa nchi ingine?
Tanzanians are so ignorant mpaka it hurts my brains
Huyu kumbe alikuwa ndiye mmiliki!!! Alikuwa anakuwepo pale dukani, kwani hii sura si ngeni!!!Shakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne.
Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India.
Masumin imekuwepo tangu mwaka 1985 na Mzee Sharikali amekuwa mchangiaji mkubwa kwenye Jumuiya ya Hussein, Dar es Salaam.
View attachment 1870986
anazikwaKwahiyo Leo wanamtia kiberiti? Maisha yako kasi sana.
Hawa huwa wanakuja kuchuma Tanzania na kujenga kwao. Sasa amefariki anazikwa kwenye mother land. RIP.