MATHIAS KABYEMERA
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,793
- 572
kujirudia kwa matukio ni ishara kuwa serikali haisimamii maamuzi na sheria zake. Huyu ni wapili kuua wadeni wake. Mmoja aliua akazika kabisa kesi yake sijui imeishia wapi. Huyu nae kaona akiua ataachiwa kwa kutumia pesa zake. Papaa Msofe kaua na kuachiwa. Albino na vikongwe wanauawa na wauaji wanaachiwa. Tanzania ndivyo ilivyo bwana!