Hajamuua Claudia pekee.. Kamuua na Ali
Nilisikia hii habari Jana ni hatari hao ndio ccm bwana.
Waliouawa ni Ali Mohamedi na Claudia Sikarwanda.Star TV imeripoti kuwa mmiliki wa mabasi ya J4 Bwn.Juma Mahende amewapiga wafanyabiashara wenzake wawili kwa risasi mbele ya ofisi yake na kufariki papohapo.Hatari hii imetokea Mwanza.Jeshi la polisi limemkamata na kumtia ndani muuaji.Kamanda wa polisi wa Bwn.Mkumbo amethibitisha kutokea kwa tukio hili.Ndugu wa marehemu wanasema jamaa waliouawa na muuaji walikuwa wanadaiana 25Milion.Inashangaza na kuhudhunisha kama haya yanaweza kutokea Tanzania.Roho za wapenzi wetu(hata kama wana makosa) zinapotea kwa namna ya kikatili.Cha ajabu usishangae kukutana mitaani na muuaji akiwa huru.
Huu umafia ni business ya kawaida kwa vitajiri vya kanda ya Ziwa ambavyo vinalindwa na mfumo ccm. Mfano ni yule mabina m/kiti wa ccm alouwawa kipindi kile, wale wale akina Gitana, Zakaria, mabula J4,...watu hatari sana ambao ulinzi wao pekee ni ccm, ndo chaka lao.
Nilisikia hii habari Jana ni hatari hao ndio ccm bwana.
Hapa CCM inahusikaje?
Nilisikia hii habari Jana ni hatari hao ndio ccm bwana.
Sheria za nchi yetu haziruhusu kuua mtu kwa sababu yoyote ile!
Tunaona vibaka wakiuliwa kila siku na mpaka kuchomwa moto.
Tunataka tujuwe upande wa pili wa shillingi, kwanini amewapiga risasi?
Kama mke na mume wanatumia silaha za moto haya, endelea tu moaka jioni utakuwa umeelimika