OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Je kama ni kujihami ? Tulieni mpaka habari kamili yeye siyo mjinga auwe tu! ! Maana ya kua na silaha nikujilinda ,sito vinginevyo
Anaweza kuwa kundi la wajinga pia wauaji, kujilinda sio lazima kuua, kutoa tu silaha tayari umejilinda, kupandisha risasi tayari anayekutishia usalama akili inakaa sawa, risasi hewani bado ni kujilinda, kuelekeza mtutu bado unajilinda, eneo unalopiga sasa hapo tafsiri inaanza kugeuka kutoka kujihami mpaka kuua kwa kukusudia. . . . . .