Mmemtukana na kumtweza wee! Kaamua kuzunguka na chopa yake nchi nzima kujibu matusi yenu na kujisafisha utu wake. Sasa woga na wasiwasi wa nini?

Mmemtukana na kumtweza wee! Kaamua kuzunguka na chopa yake nchi nzima kujibu matusi yenu na kujisafisha utu wake. Sasa woga na wasiwasi wa nini?

Dr Akili

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
5,313
Reaction score
4,750
Akili za baadhi ya watu huwa hazieleweki zinavyofanya kazi. Yaani kweli mtu mliyemtukana wee na kutweza utu wake, mutawezaje kumuomba msaada kwa matatizo yanayowapata kutokana na laana ya matusi na matendo yenu?

Kwa nini sasa mnakuwa na wasiwasi na uoga tele munaposikia kuwa mtu huyo kaamua kuzunguka nchi nzima kwa chopa yale kujibu hayo matusi yenu? Si mulisema kazeeka na anapaswa akatulie tu nyumbani kulea wajukuu na kula hayo mamillioni ya pesa aliyohongwa na Abdul na Mama Abdul?

Mlifikiri uanaharakati ndiyo siasa au siasa ni uanaharakati? Subirinu Mwamba atakavyowafundisha.
 
Akili za baadhi ya watu huwa hazieleweki zinavyofanya kazi. Yaani kweli mtu mliyemtukana wee na kutweza utu wake, mutawezaje kumuomba msaada kwa matatizo yanayowapata kutokana na laana ya matusi na matendo yenu?

Kwa nini sasa mnakuwa na wasiwasi na uoga tele munaposikia kuwa mtu huyo kaamua kuzunguka nchi nzima kwa chopa yale kujibu hayo matusi yenu? Si mulisema kazeeka na anapaswa akatulie tu nyumbani kulea wajukuu na kula hayo mamillioni ya pesa aliyohongwa na Abdul na Mama Abdul?

Mlifikiri uanaharakati ndiyo siasa au siasa ni uanaharakati? Subirinu Mwamba atakavyowafundisha.
Wizi wa pesa za walipa kodi ccm kumtumia Mbowe kwa kumlipa pesa za walipa kodi ni matumizi haramu ya pesa za watanzania na hilo chopa litaanguka kwa Laana ya watanzania kwani hawaitaki pesa zao kutumika kwa mambo ya hovyo na kishetani
 
Mbowe na makala wana mradi haramu wa kuwauza G55 huko Chaumaccm chama uvunguni mwa ccm ni mradi wa kifisadi kwa pesa nyingi wanagawana mbowe na makala
 
  • Thanks
Reactions: K11
Akili za baadhi ya watu huwa hazieleweki zinavyofanya kazi. Yaani kweli mtu mliyemtukana wee na kutweza utu wake, mutawezaje kumuomba msaada kwa matatizo yanayowapata kutokana na laana ya matusi na matendo yenu?

Kwa nini sasa mnakuwa na wasiwasi na uoga tele munaposikia kuwa mtu huyo kaamua kuzunguka nchi nzima kwa chopa yale kujibu hayo matusi yenu? Si mulisema kazeeka na anapaswa akatulie tu nyumbani kulea wajukuu na kula hayo mamillioni ya pesa aliyohongwa na Abdul na Mama Abdul?

Mlifikiri uanaharakati ndiyo siasa au siasa ni uanaharakati? Subirinu Mwamba atakavyowafundisha.
The way you idiots in the UVCCM are trying to frame this is beyond ridiculous
 
Akili za baadhi ya watu huwa hazieleweki zinavyofanya kazi. Yaani kweli mtu mliyemtukana wee na kutweza utu wake, mutawezaje kumuomba msaada kwa matatizo yanayowapata kutokana na laana ya matusi na matendo yenu?

Kwa nini sasa mnakuwa na wasiwasi na uoga tele munaposikia kuwa mtu huyo kaamua kuzunguka nchi nzima kwa chopa yale kujibu hayo matusi yenu? Si mulisema kazeeka na anapaswa akatulie tu nyumbani kulea wajukuu na kula hayo mamillioni ya pesa aliyohongwa na Abdul na Mama Abdul?

Mlifikiri uanaharakati ndiyo siasa au siasa ni uanaharakati? Subirinu Mwamba atakavyowafundisha.
Kama unamuongelea mbowe unajidanganya mbowe awezi kuwa upande wa haki tena...huyo ni bidhaa halali ya mafisadi wa ccm....hivyo siasa atakazo fanya ni siasa dhidi ya taifa na kutegemea fadhira za mafisadi ....ya kupewa viti vya uongo vya ubunge ...kamwe mbowe awezi kuwa na nguvu ya umma nyuma yake.
 
RIWAYA SEHEMU YA 6: HARAKATI ZA MBOWE MRAMBA ASALI NA CHUPA YAKE YA NYAGI.
 
Mtu mwenye akili timamu, unaamua kukaa chini na kupoteza wakati wako kuandika takataka, ili watu waje wapoteze muda wao kuchangia mawazo yao kwenye jambo ambalo halina maana!
Ameandika point tupu, we lini umeandika cha maana? Mwaka huu mtakufa kwa sonona nyumbu msio na akili
 
Wizi wa pesa za walipa kodi ccm kumtumia Mbowe kwa kumlipa pesa za walipa kodi ni matumizi haramu ya pesa za watanzania na hilo chopa litaanguka kwa Laana ya watanzania kwani hawaitaki pesa zao kutumika kwa mambo ya hovyo na kishetani
We ndio maana umejiita funza, majina huumba yakhe! Kwisha hbr yenu nyumbu msio na akili
 
Wizi wa pesa za walipa kodi ccm kumtumia Mbowe kwa kumlipa pesa za walipa kodi ni matumizi haramu ya pesa za watanzania na hilo chopa litaanguka kwa Laana ya watanzania kwani hawaitaki pesa zao kutumika kwa mambo ya hovyo na kishetani
Unaishi kwa hisia bwege we
 
Kama unamuongelea mbowe unajidanganya mbowe awezi kuwa upande wa haki tena...huyo ni bidhaa halali ya mafisadi wa ccm....hivyo siasa atakazo fanya ni siasa dhidi ya taifa na kutegemea fadhira za mafisadi ....ya kupewa viti vya uongo vya ubunge ...kamwe mbowe awezi kuwa na nguvu ya umma nyuma yake.
Mbowe ndio yule punda aliye mbeba yesu na akadhangiliwa na kutandikiwa mavazi chini.
Mbowe alikuwa amekibeba Chama barikiwa kilichokuwa kimebeba matumaini ya watu, chama kikashangiliwa pamoja naye pia. Lakini kakishusha sasa anarudi na watu watanpisha bila kumshangilia naye anashangaa tu
 
Mbowe ndio yule punda aliye mbeba yesu na akadhangiliwa na kutandikiwa mavazi chini.
Mbowe alikuwa amekibeba Chama barikiwa kilichokuwa kimebeba matumaini ya watu, chama kikashangiliwa pamoja naye pia. Lakini kakishusha sasa anarudi na watu watanpisha bila kumshangilia naye anashangaa tu
Mbowe amefanya kazi ya UDALALI hapo CDM kwa miaka mingi, ujio wa Lissu umewezesha kuonekana kwa MIKONO YAKE MICHAFU wazi wazi. Lazima akimbie tu.
 
Akili za baadhi ya watu huwa hazieleweki zinavyofanya kazi. Yaani kweli mtu mliyemtukana wee na kutweza utu wake, mutawezaje kumuomba msaada kwa matatizo yanayowapata kutokana na laana ya matusi na matendo yenu?

Kwa nini sasa mnakuwa na wasiwasi na uoga tele munaposikia kuwa mtu huyo kaamua kuzunguka nchi nzima kwa chopa yale kujibu hayo matusi yenu? Si mulisema kazeeka na anapaswa akatulie tu nyumbani kulea wajukuu na kula hayo mamillioni ya pesa aliyohongwa na Abdul na Mama Abdul?

Mlifikiri uanaharakati ndiyo siasa au siasa ni uanaharakati? Subirinu Mwamba atakavyowafundisha.
Huna akili.
 
Back
Top Bottom