Mmejiandaaje kwa nyumba nyingi zilizohifadhi madumu ya petroli kutokana na hofu ya maandamani D9?

Mmejiandaaje kwa nyumba nyingi zilizohifadhi madumu ya petroli kutokana na hofu ya maandamani D9?

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
3,620
Reaction score
6,510
Kuelekea D9, siyo tu watu wameamua kuhifadhi vyakula majumbani mwao, ila pia wengi wamehifadhi pia madumu ya petrol kwa ajili ya bodaboda, bajaji na magari yao.

Natumai mmejiandaa yale yaliyotokea London mwaka 1666 yasijekutokea Dar es Salaam.
 
Kuelekea D9, siyo tu watu wameamua kuhifadhi vyakula majumbani mwao, ila pia wengi wamehifadhi pia madumu ya petrol kwa ajili ya bodaboda, bajaji na magari yao.

Natumai mmejiandaa yale yaliyotokea London mwaka 1666 yasijekutokea Dar es Salaam.
Hivi unahifadhi petrol ya nini na hali ikiwa mbaya lockdown inaanza? Utaendesha gari kwenda wapi? Lockdiwn ikiisha vituo vinafunguliwa.
Mimi gari yangu inakaa na maximum yake au minimum yake ile ile.
 
Sisi ni wauza mafuta ya vidumu kutoka kwa madereva wa malori, na wateja wetu wakubwa ni bodaboda, kwa hiyo usituchonganishe na serikali
 
Hivi unahifadhi petrol ya nini na hali ikiwa mbaya lockdown inaanza? Utaendesha gari kwenda wapi? Lockdiwn ikiisha vituo vinafunguliwa.
Mimi gari yangu inakaa na maximum yake au minimum yake ile ile.
Tumekusoma wa kishua
 
Magari watayaendeshea wapi?

Maana hiyo Oktoba mpaka barabara za vumbi mitaani zilikuwa blocked na moto wa matairi.
 
Back
Top Bottom