yaani mme wa dadaake babaangu awe tena mjomba,
na kakaake mama pia mjomba?
Shemeji
mi navyojua huwa anaitwa baba shangazi
kwa sisi wakwereJiulize Huyo Mjomba wako mke wake unamuitaje. Ndio Maana Wazungu Wao Kuanzia Baba Mkubwa, Mdogo,mjomba Wote ni uncle.
Kwetu tunaita "Mkaza Shangazi"
Na mke wa mjomba?
Sawa sawa kabisa mkuu.mi navyojua huwa anaitwa baba shangazi