Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
[h=6]Mme anamlalamikia pasta, "Tangu mke wangu awe mlokole ananikera sana wakati wa kushiriki tendo la ndoa maneno yake ya mapenzi yamekuwa 'ooh haleluya, asante simba wa yuda, thank u alfa na omega, woow! sweet mwanakondoo! ooh! mwokozi nibebe, nibembeleze baba! nipe vyote bwana wangu,Asante kristo, nipe vitu mwokozi, nipeeee e bwana".[/h]