mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
hbu vuta pumzi afu uandike tena habari hii kwa ukamilifu mana umeileta kwa dana dana tu................news haina OBJECTIVE
Poleni watanzania,
Ngoja tusubiri tamko.
Naomba isiwe kweli! This is TOO MUCH!!!
Clouds Fm, wametanganza hiyo ajali, basi lilikuwa linatokea Njombe kuelekea Dar mpaka sasa hivi maiti 5 zimepelekwa hospitali na majeruhi 20.
Baadhi ya maiti bado zimebanwa na basi
Ukiwa jf usiogope ctitics....komaa na hoja zako watanyamaza....Yan jmn hawa watu wa humu jf wana tabu yan me nimetoa habari halaf wanaanza kunishambulia
jamani hao abiria uko kwenye basi kwanini hawakumgomea? this is too much, watu wanachinja wenzao kama ng'ombe jamani, hawathamini roho za watu hata kidogo! halafu utaskia dereva amekimbia na hajakamatwa, nina hasira sana. Hatuwezi kuwa tunasema "tumwachie Mungu", mambo mengine kwakweli tunamsingizia tu Mungu.Basi sijui ilaitwa glacier or someting lilikua linatoka njombe kuja dar,ajali imetokea mbele kidogo ya mikese,yan dereva alikua anaendesha kama kichaaa, nahisi alikua amelewa maaana sijapataona alitaka kutupiga overtake na gari lipo mbele yetu tukakwepa tukaa pembeni akatupita, tumekuta kaua watu jamani ts sad
Na fundi umeme kanaswa na umeme kwenye nguzo afrikana amefariki hapo hapo na wameshindwa kumtoa
Gari gani? Ilikuwa inatoka wapi kwenda wapi? kama haujui hilo futa thread yako kwa kuwa haina msaada kwetu