Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Mungu wangu,sijui nisemeje?pole kwa watu wote,
nasikitika kuna ajali.... lakini nakereka na mtu analeta habari iko uchi namna hii, pata facts halafu post ukiwa na taarifa
hebu imagine unaangalia news halafu msomaji habari anaanza na
- Machame: kumetokea ajali mbaya sana machame
- Dodoma: Naibu spika amewatoa wabunge watatu nje ya bunge
- Cyprus: baraza la mawaziri limejiuzulu
- Dodoma: mbunge kasutwa
Na huo ndio mwisho wa habari
GADEMU!![
Kweli kabisa kaka huyo aliyetuma hiyo habari hakuwa na taarifa kamili, na pia hana japo ujuzi wowote wa habari nini? Na inawasilishwaje, na pia aina ya habari. Habari ya ajali ni makini na inahitaji kuwasilishwa kwa makini. Kikubwa tujitahidi kuwaelimisha watu kama hawa.
- Machame: kumetokea ajali mbaya sana machame
- Dodoma: Naibu spika amewatoa wabunge watatu nje ya bunge
- Cyprus: baraza la mawaziri limejiuzulu
- Dodoma: mbunge kasutwa
]
<br /> <br / basi la lim lilikua linaovatek magar mengi likakutana uso kwa uso na fuso la nyanya, wa2 wamekufa vby sn<br /><br /> <br /><br /> jamani mtuambie chanzo cha hiyo ajali.. Poleni watanzania.
Hali ilikuwa jana jioni pale maeneo ya Kibosho Road. Habari zinasema kuwa ajali hii ilisababishwa na gari la FRESH COACH.Dah..Mungu awape amani jamani..ni pigo kubwa na pole wafiwa!
Rip wafiwa,kuna mmoja wahao musa engeneering ni bwaabwaaa labda alikuwa anasaka bwaaaana,source mimi mwenyewe!