Hahahaha...amakweli hata mtu akitwangwa na mkewe ataisingizia CCM!poleni wana machame.. tatizo ni nini? ccm?
nasikitika kuna jali lakini nakereka na mtu analeta habari iko uchi namna hii, pata facts halafu post ukiwa na taarifa
hebu imagine unaangalia news halafu msomaji habari anaanza na
Machame: kumetokea ajali mbaya sana machame
Dodoma: Naibu spika amewatoa wabunge watatu nje ya bunge
Cyprus: baraza la mawaziri limejiuzulu
Dodoma: mbunge kasutwa
Na huo ndio mwisho wa habari
GADEMU!!
mkuu ni ajali ya aina gani hiyo?ndio kijijini kwangu huko,au mlima umeanza kulipuka?
msimlaumu mleta habari hapa JF kial mtu ni mwandishi na mleta habari hakuwepo kwenye eneo la tukio .. yeye kaleta ili kama kuna mtu mweney habari zaidi atuhabarishe.. hakuan mtu mweney proffesiona ya uandishi hapa ...au nakosea?hii sio website ya gazetindio tatizo langu
mtu kaleta habari ya ajali bila kichwa wala miguu halafu kaondoka