Pole wa Wafiwa na Watanzania wote.Idara ya ukaguzi wa magari na usalama barabara ndio wa kulaumiwa.Maana yake ni kwamba hizi idara hazifanyikazi kama zinavyotakiwa na kwa mujibu wa sheria.Magari mengi hayakaguliwi na badala yake yanapewa stiker za wiki ya nenda kwa usalama.Hii ni hatari sana.Binadamu hathaminiwi tena,pesa ndiyo yenye mashiko zaidi kuliko binadamu?Lakini tukumbuke hizi mali zilizopatikana kwa njia zisizo halali,ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu.Nyumba, Magari nk ambayo yamepatikana kwa rushwa,ipo siku tutayaona wakitoa damu za watu.Hii ni ngumu keleweka kwa wote,mpaka uwe na uchaji wa Mungu.Ni kwa nini kila mara ajali barabarani wakati tuna vyombo vya usalama?Jana Mtwara,Juzi Nzega,Mafinga,Ifakara,Dar es Salaamnk.Yaani kwa mwezi mmoja ni zaidi ajali kumi??Hivi tutaita kuna Polissi na Mamlaka zinazohusika Usalama Barabarani.Tatizo ni nini jamaa?