JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,988
- 3,545
Poleni sana wafiwa na mungu awasaidie majeruhi wapone haraka, mimi mara zote huwa siamini mwendo kasi ni chanzo cha ajali nyingi zinazotokea hapa nchini, kampuni ya sumri ni kati ya kampuni bora kabisa ya usafirishaji nchini nategemea watashiriki kikamilifu katika kusaidia wafiwa na majeruhi wote