GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
ndiyo haina baraka za mungu, lakini ina baraka za Mungu. Ndiyo maana hakuna aliyefariki.
Kwani mpaka kufariki ndio waona itakuwa haina baraka ? kama hivyo mali imeharibika , na wao wameumia yaonyesha kabisa hakuna baraka hapo