Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,359
Ni bahati mbaya tu lakini mabasi yanayoongoza kwa kukimbia ni HOOD wakuu, hawa jamaa ni noma. TBC1 wanaonyesha saizi ajali hiyo.
Ni kweli kabisa, kama unavyosema "Matukio kama haya yapo kwa ajili ya utukufu na uwepo wa Mungu." Hawa watu wameuawa ili Mungu atukuzwe. Kwa hiyo tusilaumu na kunung'unika kwa kukosoa kazi ya Mungu, bali tumtukuze Mungu kwa kuwaua hawa awapendao maana, tazama imeandikwa, ina thamani machoni pa Bwana mauti ya wacha Mungu wake.Matukio kama haya yapo kwa ajili ya utukufu na uwepo wa Mungu.
Ajali za barabarani zinaendelea kugharim maisha ya watu. Leo asb bus la Ngorika likitokea Ar kwenda Dar likagonga hiace ya abiria ambayo ilikua inamkwepa mwendesha baiskeli. Takribani watu wasiopungua 8 wamefariki on the spot. Majeruhi ni wengi wamekimbizwa Mt Meru Hosp.
kunung'unika ni ubinadamu na sio kila kitu ni mpango wa Mungu bwana mengine yanaweza kuepukika au kutafutiwa ufumbuzi, i dont believe kwamba Mungu anavyotupenda hivi anapenda tufe namna hiyo kwa kweli, hata shetani nae mara nyingi anahusika. Pole wote mliofiwa na majeruhi tunawaombea kwa Mungu mpone harakaTuache kulaumu na kunung'unika, tutakufuru mipango ya Mungu ya ajali, kazi ya Mungu haina makosa.
Maeneo karibia USA RIVER, ukitoka Makumira kuna kadaraja kapo kabla ya kufika usa river. Hiace ni ya abiria inatokea arusha town inalekea Maji ya chai.
Tuache kulaumu na kunung'unika, tutakufuru mipango ya Mungu ya ajali, kazi ya Mungu haina makosa.
Nini kukatwa na bati, kama ni mipango ya Mungu hata misumari utapigiliwa.Mungu wetu huyu wa Huruma anapenda watu wake wafe kwa maumivu makali ya kukatwa katwa na mabati ya magari??? Kama hii ni kazi ya Mungu wetu