Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Foleni itoke wapi, labda ya baiskeli. Hako kamkoa ccm na serikali yake imekafyonza sana. Kanazalisha madini mengi, ng'ombe kibao, pamba na mpunga lakini ndiko kanaongoza kwa umaskini, umbumbumbu na imani za kishirikina.

nikweli shinyanga hakuna foleni. basiikeli ndio daladala pia kuna pikipiki nyingi sana.

nawapa pole waliokutwa na matatizo.
 
Kuna mtu anaweza kutupa madhara ya huu moto kwa haraka haraka angalau
 
Poleni sana. Labda baada ya kupokea taarifa ndo yakaenda mwadui au kahama (migodini) kuomba msaada wa maji.
 
Hizi ajali mpaka lini jamani?

Picture 020.jpg Picture 022.jpg Picture 024.jpg Picture 021.jpg Picture 025.jpg Picture 026.jpg
pencil.png
pencil.png
 

Attachments

  • Picture 023.jpg
    Picture 023.jpg
    232.3 KB · Views: 47
ilitokea wapi mbona huwa mnaleta mada kivivu utafiki tuko FB...kuna ajali nagpi zilitokea juzi....
 
Ukiondoa sababu za kibinaadam ikiwemo uzembe, ajali nyingi zinasababishwa na ubovu wa magari. Huwa wamiliki wanajisahau sana!!! Madereva pia huwa wanahofia wakitoa taarifa za ubovu mara kwa mara wataonekana ni waharibifu. We need to change!!
 
mdau hii ilitokeajetokeaje? au hujui

Semi Trailler moja ilikuwa inatokea upande wa chalinze imebeba fito (mbao zile za kujengea makuti) na ingine inatokea Dar imebeba container 40ft, zikagongana... head on coallition... Drivers wote wawili walifariki... maana ajali ilitokea saa 11 alfajiri na hapo nachukua picha it was around saa 3.30 asb
 
ilitokea wapi mbona huwa mnaleta mada kivivu utafiki tuko FB...kuna ajali nagpi zilitokea juzi....

Huangalii nuuz wewe... ilitokea karibu na chalinze ikasababisha foleni kubwa ya magari... nimejaribu ku-edit niweke location nikashindwa
 
Ukiondoa sababu za kibinaadam ikiwemo uzembe, ajali nyingi zinasababishwa na ubovu wa magari. Huwa wamiliki wanajisahau sana!!! Madereva pia huwa wanahofia wakitoa taarifa za ubovu mara kwa mara wataonekana ni waharibifu. We need to change!!

Nafikiri pia either inakuwa kwa sababu ya uchovu au under influence ya drags... inavyoonekana huyo driver aliyenasa kwenye gari ndiye alisababisha ajali... alikuwa upande wa mwenzake, na since mwenzake pia alikuwa na mzigo mkubwa na mzito zaidi, nadhani akaogopa kuingia kwenye gema maana ile barabara imeinuka...
 
Back
Top Bottom