talumba mkiwa
Member
- Sep 30, 2010
- 22
- 1
rip
Hiyo yenye red he!mwafrika bado anaamini ajali zinasababishwa na kafara na mungu, unadhani hapo tatizo hili litakwisha lini?
huyo mungu tunayemwomba awajalie afya njema majeruhi kama ana uwezo huo si angewaepushia majeruhi ajali in the first place? hata Zinjatropus hakuwa na theory senseless namna hii
miezi ya kafara imepita,huu ni uzembe wa madereva, r.i.p
Watu 4 wamekufa,8 wamejeruhiwa baada ya lori lililokuwa linaenda Zambia kugonga Hiace huko Tanangozi nje ya Iringa.
Dreva wa loli alikua amelala loli likiwa kwenye mwendo mkaliHizi ajali zitaisha lini jamani?Hapo utakuta mtu kaletewa leseni nyumbani wakati hata kuendesha gari hajui ,akiweza kulliweka barabarani basi huitwa dereva bila kujua sheria za barabarani.Maafisa usalama barabarani nao ndio chanzo cha ajali hizi kwa kuendekeza mlungula hata pale wanapoona kuna hatari mbele au dereva hakidhi vigezo vya kuwa barabarani.
Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi
Watu 4 wamekufa,8 wamejeruhiwa baada ya lori lililokuwa linaenda Zambia kugonga Hiace huko Tanangozi nje ya Iringa.
Asanteni nyote kwa kutujuza!Sio kweli mkuu unapotosha watu
Sio Hiace ni Kosta ya Another G na Lori sio kweli lilikuwa linaenda Zambia bali lilikuwa linaenda Dar
Asanteni nyote kwa kutujuza!
Taarifa kama hizi huwa zinaanza na porojo nyingi, mwisho ukweli utajulikana!