Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Semi Trailler moja ilikuwa inatokea upande wa chalinze imebeba fito (mbao zile za kujengea makuti) na ingine inatokea Dar imebeba container 40ft, zikagongana... head on coallition... Drivers wote wawili walifariki... maana ajali ilitokea saa 11 alfajiri na hapo nachukua picha it was around saa 3.30 asb
duh! RIP inaonyesha jamaa walikuwa kwenye speed kali sana sasa sijjui nani hapo alaumiwe madereva au uslama wa mabararani au magari ndio yalikuwa mabovu kwa sababu ajali hadi dereva afe ujue ni ajali mabya sana
 
Inatisha! Zinapotokea so kama hizi huwa zinaniletea mguso fulani na kunifanya nizidi kuwa mwoga na mwangalifu barabarani, hasa ninapokuwa nimebeba familia. RIP!
 
Sasa wewe unachomeka tu picha bila kueka disclaimer..mnaboa
 
Wanajamvi!
Nimepewa taarifa kuwa maeneo ya kimara korogwe kuna ajali mbaya sana imetokea leo na kupoteza maisha ya watu. Ajali yenyewe imesababishwa na lori aina ya fuso ilio feli brakes na kugonga toyota landcruiser yalikuwa yakitokea mbezi kuja mjini, na baada ya kuigonga landcruiser VX ikarushwa upande wa pili wa barabara ikakutana na lori jingine ikaligonga na lile lilofeli brakes likaruka upande wa pili nalo likagonga ile lori liligonga VX na kugonga daladala iliotokea mjini kwenda mbezi na kuangukia kwenye kituo cha basi ambacho kilikuwa na watu wakisubiria usafiri, inavyosemekana watu waliokuwamo ndani ya VX wamepoteza maisha hapo hapo na wendine kwenye daladala, waliokuwa kituoni ingawa hadi sasa idadi kamili ya waliopoteza maisha haijajulikana.

Waliopo njia hiyo ama maeneo hayo watujuze maana mtoa habari alienipa amesema mtu akiona hhiyo ajali huwezi rudia mara mbili kuitazama.
 
hmmm hii itakua ajali ya mwaka yenye kushangaza.
vx limegongwa na roli lililokosa breki,likarushwa kwenye lori jingine upande mwingine,likarudi na kubamiza daladala na kisha kudondokea stend kuumiza na watu.
very sad!!!
 
mmh......inasikitisha!!!eeeh Mungu okoa tanzania!!
 
Hapo Korogwe pana ajali nyingi sana za ajabu, kunacku nilishuhudia love 4 ikitenda maajabu iliruka toka upande mmoja kwenda wa pili na kusababisha ajali mbaya sana!
 
Bismillah Rahmani Rahim. Mwenyezi Mungu tunakuomba uwalaze pahala pema marehemu na uwaponye majeruhi wapate nafuu na pia tunakuomba utuepushe na ajali na mabalaa yote Tanzania. AMIN.
 
Inavyoonesha ajali za barabarani zinaua watanzania wenzetu wengi kuliko Ukimwi, e Mungu mwenyezi tuepushe na ajali hizi,:A S 20::roll:
 
poleni majeruhi na mimi na mama gaude tunawatakia mpate nafuu ya haraka na mrudi katoika ujenzi wa taifa...na waliopoteza maisha mungu awape pumziko la milele
 
Nasikia kuna ingine tena imetokea maeneo ya baracuda, tabata ssegerea. Coaster imeingia mtaroni na kuna vifo pia. mwenye taarifa zaizi azirushe.
RIP wote waliopoteza maisha, na majeruhi Mungu awape ahueni.
 
Back
Top Bottom