Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Kweli mkuu lakini Radio One kupitia breaking news walipotosha ukweli halisi angalia picha hapo juu.

Mwenyewe jana nilipokea ujumbe wanasema lori na hiace dah hawa jamaa inabidi watuombe radhi
 
Nimepoteza ndugu yangu kwenye hii ajali,
na sasa nipo kwenye mchakato wa kwenda kuzika songea.
 
Nimepata taarifa mbaya ya ajali ya moto unaendelea kuteketeza kituo cha mafuta mjini shinyanga Mtaa wa Buhangija ambapo kituo cha mafuta kimeteketea pamoja na nyumba jirani ya kituo.Wenye taarifa kamili watuletee.Uharibifu mkubwa umetokea wa nyumba
 
kuna moshi mkubwa uliaza kuonekana hapa mjini kuanzia saa saba kasoro ila magari ya faya brigade yamepita muda sio mrefu ila yatakua yamechelewa saaana ngoja nfatilie ntawajuza zaidi ila kwa moshi uliokuwepo unaonekana ni moto mkubwa
 
Nimepata habari za simu kuwa kuna ajali ya Coaster inayoitwa MACHAME SAFARIS iliyokuwa ikitokea Arusha kwenda Moshi, ambapo LIMEANGUKIA KWENYE MTOKILALA Likiwa kwenye mwendo kasi, eneo la Usa-Tengeru@!
Mpaka sasa kuna taarifa za watu 8 kuumia sana, wengine wakivunjika viuno, 27 KUNUSURIKA habari zaidi baadaye!
Pia kama kuna aliye mitaa ya hiyo atujuze yaliyojiri na size ya impact!
 
mkuu hii ni ya saa ngapi? ila kariibu na daraja mbele ya makumira univ kuna Machame Safaris moja ilikuwa inaondolewa na kati ya KIA na Boma pale kwenye miti mingi kuna basi jingine limepiga mzinga mita kama 30 hivi kutokea barabarani
 
Nimetumiwa tena taarifa kwenye simu yangu na ARUSHA-MAMBO juu ya tukio hili(confirmed)
 
Asante kwa taarifa mkuu, ehh Mungu tunusuru

Inafikia mahali ukitaka kusafiri unajiuliza mara mbilimbili
 
Asante kwa taarifa mkuu, ehh Mungu tunusuru

Inafikia mahali ukitaka kusafiri unajiuliza mara mbilimbili
Sure...Nashangaa inakuwaje kwenye njia hii kila wakati magari yanatumbukia mtoni...
Wataaha niamini mambo ya mandondocha kuwepo maeneo ya madaraja yakisubiri damu za wtu!...!
 
ni kweli kimeteketea chote,ila magari ya zimamoto yamechelewa zaidi ya nusu saa
 
kuna moshi mkubwa uliaza kuonekana hapa mjini kuanzia saa saba kasoro ila magari ya faya brigade yamepita muda sio mrefu ila yatakua yamechelewa saaana ngoja nfatilie ntawajuza zaidi ila kwa moshi uliokuwepo unaonekana ni moto mkubwa

Mbona hutujuzi, nini kinaendelea sasa? Huo mji si ndiyo waliochakachua ccm na kumpatia ubunge bwana mdogo masele?
 
Hivi Shinyanga nako kuna foleni?

Foleni itoke wapi, labda ya baiskeli. Hako kamkoa ccm na serikali yake imekafyonza sana. Kanazalisha madini mengi, ng'ombe kibao, pamba na mpunga lakini ndiko kanaongoza kwa umaskini, umbumbumbu na imani za kishirikina.
 
Kama magari ya zimamoto yamechelewa kwa zaidi ya nusu saa, yawezekana na shinyanga kuna foleni!!
 
Poleni sana ndg huko Shy, huenda hizo zimamoto zilikuwa zinatoka mwadui au kahama, ndo maana zikachelewa muda wote huo. Ni nini hasa chanzo cha huo moto?
 
Back
Top Bottom