Enzi za waziri Kusila serikali iliwahakikishia wananchi kuwa mabasi ya abiria yakifungwa 'speed governor' neno ajali lingebaki kuwa historia, governor zilifungwa mabasi yakaendelea kunywa damu za abiria. Mwaka jana tuliambiwa madereva wote wakipata leseni mpya, ajali zitatoweka badala yake ajali zimeongezeka zaidi, je serikali inajua ifanyalo?
Basi la Kandahar limepata ajali eneo la Makuyuni wakati likitokea Arusha kuelekea Babati. Chanzo cha ajali kutoka kwa aliyenitumia habari hii ambaye alikuwepo eneo la tukio, ni kwamba dereva wa basi alipinduka mara kadhaa wakati akijaribu kulikwepa trailer la trekta lililochomoka na kujikuta akiacha njia na kupinduka. mpaka sasa hukuna maiti bali majurehi ni wengi na dereva wa trekta hali yake ni mbaya sana.
Source; A Friend anapita eneo la tukio
Basi la Kandahar limepata ajali eneo la Makuyuni wakati likitokea Arusha kuelekea Babati. Chanzo cha ajali kutoka kwa aliyenitumia habari hii ambaye alikuwepo eneo la tukio, ni kwamba dereva wa basi alipinduka mara kadhaa wakati akijaribu kulikwepa trailer la trekta lililochomoka na kujikuta akiacha njia na kupinduka. mpaka sasa hukuna maiti bali majurehi ni wengi na dereva wa trekta hali yake ni mbaya sana.
Source; A Friend anapita eneo la tukio