Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,543
- 33,518
Hujamsikia Kamanda Sirro anasema mauaji yalisababishwa na dhuluma. Sasa ukidhulumu unategemea nn?Viongozi kibao wa ccm wameuwawa kibiti Mashinji mpaka kesho yupo kimya. Sembuse kaofisi kamoja tu?