Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,692
- 26,209
Siyo hivyo, huyo kamanda mwenzako analalamika CCM hawajatoa pole. Pole ya nini sasa?
Siyo hivyo, huyo kamanda mwenzako analalamika CCM hawajatoa pole. Pole ya nini sasa?
Mwigulu na mabomu ya arusha aka Savimbi, bado mnaendelea kumkasirisha Mungu mbabe samuel doe mnamkumbuka na mwisho wake?Tanzania ilipofikia ni patamu sana !
Savimbi wewe hujafikia hata robo ya utesaji wa Samuel doe,au yule wa Libya endeleeni tu tunamwachia mwenyezi MunguMwigulu na mabomu ya arusha aka Savimbi, bado mnaendelea kumkasirisha Mungu mbabe samuel doe mnamkumbuka na mwisho wake?
Kwa hiyo kila anayesema kinyume na ccm ni kamanda wa cdm sio, usiwe na mawazo ya kifutu penye 7kweli eema unazani kama hali ndo hii ,mwelekeo tuendako ni mzuri.Siyo hivyo, huyo kamanda mwenzako analalamika CCM hawajatoa pole. Pole ya nini sasa?
Mtu akidondosha ela na kulia watu watamsikitia lakin aliye okota anasema mbona fresh tuHaijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea .
Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu .
Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo .
Mytake , Urafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja .
Ndiyo. Una swali jingine?Kwa hiyo kila anayesema kinyume na ccm ni kamanda wa cdm sio...
Hua unalala usiku kwa amani?Ndiyo. Una swali jingine?
Tena sana tu.Hua unalala usiku kwa amani?
Ama kweli ndo maana mnateka watu na ss mmeamua kuyafabya hayo kwa wanasheria nani aliwaambia msaini mikataba mibovu nani aliwadanganya mikataba huvunjwa hivyo?leo mambo magum mnataka kupoteza ushahd kwa kutaka kuwazuru wanasheria bora kabisa mnashindwa nn kuwatumia wanasheria wenu viraza kushinda kesi ,haya kila sehrm madeni bado samaki wa magufuri,hilo la b 87 ,moil 15b yote yyNdiyo. Una swali jingine?
Kuwa na kumbukumbu wewe ,mwenyekiti mbowe alishalaani mauaji ya kibiti,na siyo Mara moja Mara nyingi sana acha siasa za ushabikiViongozi kibao wa ccm wameuwawa kibiti Mashinji mpaka kesho yupo kimya. Sembuse kaofisi kamoja tu?
Kulingana na hoja zinazotolewa na uvccm hapa napata shida naona moja kwa moja kuna chama cha makinikia kuhusikaHayo umesema wewe , mimi nimesema kwamba ccm wamekaa kimya .
Watakao kuwa busy kwenye ili ni wapinzani na siasa za matukio!!Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea .
Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu .
Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo .
Mytake , Urafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja .