Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,426
- 215,186
Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea.
Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu.
Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo.
Mytake, Urafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja.
Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu.
Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo.
Mytake, Urafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja.