Mlipuko ofisi ya Mawakili, CCM yakaa kimya

Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea .

Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu .

Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo .

Mytake , URafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja .
Toka lini IMMA's wakawa na urafiki na CCM?
 
Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea .

Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu .

Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo .

Mytake , URafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja .
Mchawi MPE mwana akulelee.
 
Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea .

Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu .

Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo .

Mytake , Urafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja .
Mlipuko wa nini?
 
Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea .

Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu .

Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo .

Mytake , Urafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja .
CUF ni miongoni mwa wateja wa moja kwa moja wa ofisi hizo na mwanasheria mkuu wa CHADEMA Lissu anatetewa ktk shauri mojawapo na mmoja kati ya mawakili wa kampuni hiyo kwa hiyo wote kwa namna fulani ni wahanga wa shambulio hilo.
 
Back
Top Bottom