Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 22,370
- 45,001
Hujamsikia Kamanda Sirro anasema mauaji yalisababishwa na dhuluma. Sasa ukidhulumu unategemea nn?Viongozi kibao wa ccm wameuwawa kibiti Mashinji mpaka kesho yupo kimya. Sembuse kaofisi kamoja tu?