Hujuma zisizo na tija zitaliangamiza taifa. Siamini kama mahali pale panashambuliwa na mlipuko kisha walinzi wa makao makuu ya jeshi washindwe kutoa msaada! Hapa sio bure kuna namna mfumo umehusika na sidhani kama wataweza kujichunguza. Twafaaaaa!
Kama una ushahidi peleka polisi.Ama kweli ndo maana mnateka watu na ss mmeamua kuyafabya hayo kwa wanasheria nani aliwaambia msaini mikataba mibovu nani aliwadanganya mikataba huvunjwa hivyo?leo mambo magum mnataka kupoteza ushahd kwa kutaka kuwazuru wanasheria...
Alilaani wapi?Kuwa na kumbukumbu wewe ,mwenyekiti mbowe alishalaani mauaji ya kibiti,na siyo Mara moja Mara nyingi sana acha siasa za ushabiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mnajificha kupitia mgongo huo wa ushaidi lkn muda mfupi ntaona na mtajutia matendo yenu shem on u basterd.Kama una ushahidi peleka polisi.
Hawawezi kulaani uovu wa Mwenyekiti wao, hata Clouds TV walipovamiwa walikaa kimya(japo hawa ni heri tu wavamiwe tena)!Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea.
Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu.
Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo.
Mytake, Urafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja.
Alilaani wapi?
Ha ha ha, ndio madhara ya kukariri maneno ya Kiingereza....shem on u basterd...
mkadiriamajenzi.itakua moyoni
Wewe unajua nini kuhusu huo mlipukoZamu yako ikifika ndio utajua ni nini .
Unayo hojaHawawezi kulaani uovu wa Mwenyekiti wao, hata Clouds TV walipovamiwa walikaa kimya(japo hawa ni heri tu wavamiwe tena)!
Ofisi ya Raia wema imeshambuliwa .Wewe unajua nini kuhusu huo mlipuko
Utajua mwenyewe lkn nadhani umeelewa nn maana yake.Ha ha ha, ndio madhara ya kukariri maneno ya Kiingereza.
Ha ha ha, ndio madhara ya kukariri maneno ya Kiingereza.
Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea.
Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu.
Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo.
Mytake, Urafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja.
Halafu mtu mwenyewe mbishii.Huyo atakuwa anamwongelea mwanamuziki wa zamani hayati Shem Kalenga, kwenye kiingereza hayuko huko
ccm itoe tamko kwani mlipuko huo ni wa kisiasa?Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea.
Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu.
Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo.
Mytake, Urafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja.