JAMAN ni kwenye bar la night park a.k.a ------ bar ni mlipuko wa bomu nilikuwa maeneo ya PIN point. NAPATA smin off yng mshindo uliotoka ikabidi niuache bt police wamewasili kidogo ontime cjui lengo hasa ni nn bt kwa ujumla tuwe na subra maana kila moja anasema ya kwake.