Mliopo ndani ya ndoa nisaidieni

Mliopo ndani ya ndoa nisaidieni

duuh, unazidi kunshoosha kaka Shori ahahaha.
toka mdogo unajiita shori? uko nchi gani?
Miss chaga punguza mabango twende sawa, Shori ni jina langu nalotumia tangu msingi hadi chuo sio jina bandia wala halimanishi kitu kingine tafadhali.

Kwa sasa chupi nafua mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Kujifunza kwa kukariri kutakufksha pabaya.

Kuna majina km Tony, Shori, na mengneyo yanatumika kwa jinsia zote. Kaelimishe na wenzio

asante kwa elimu,na wewe ujue sehemu ntingine Shori ni demu.
 
Last edited by a moderator:
Kuuliza si ujinga ''eti walopo ndani ya ndoa, nguo za ndani kila mtu hufua zake au kuna kufuliana?"

NATAKA KUJUA ILI NIKIOA ISIWE SHIDA

Utapata jibu ukishaingia kwenye ndoa, kama kila mmoja anafua za kwake au mnafuliana.
 
He he he, unakutana na limkaka limejazia jazi kifua unadhani umepata kumbe umepatikana.

Ndio mambo ya akina shori wa kiume wakiwa kwenye mapozi ya kukata senta bolt

Heshima na didhamu ndio kitu cha mhimu katika maisha yangu kama kwako sio kitu, basi shika hamsini zako staki maudhi.
 
inategemea na mapenzi mliyonayo ndani ya ndoa! kufuliana ni kitu cha kawaida na kinaleta raha kama mmeoga wote lakini c kumfanya mmojawao awe mtumwa wa kumfulia mwenzie mara kwa mara, inabidi itokee mara mojamoja tena kistarehe zaidi! na kumpa house girl afue chupi zenu ni utovu wa nidham ni sawa na kumvulia kabisaaaaa.

Nmekuelewa vzuri kabisa, ahsante
 
Hata sioni shida coz yapo majina mengi yanayotumiwa na jinsia zote, sio shori tu kikubwa na cha mhmu heshma

me ninavyojua SHORI ni msamiati unamaanisha mwanamke
shori = mwanamke(kikenya)
ndo maana wadau wanashangaa
 
Back
Top Bottom