mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,449
Kwanza jiulize wewe unalichukuliaje hilo??
Ninachojua mimi MUME kumfulia MKE nguo za ndani au MKE kumfulia MUME ni mapenzi tu na sio kanuni wala lazima
Kuna mengi sana hufanywa ndani ya ndoa ila ni kwa upendo si amri na inapokua amri ni wazi kwamba hakuna mapenzi hapo zaidi ya mmoja kuwa mtumwa wa mwenzie
NB:Kama wewe ni KE signature chini inahusika
Ninachojua mimi MUME kumfulia MKE nguo za ndani au MKE kumfulia MUME ni mapenzi tu na sio kanuni wala lazima
Kuna mengi sana hufanywa ndani ya ndoa ila ni kwa upendo si amri na inapokua amri ni wazi kwamba hakuna mapenzi hapo zaidi ya mmoja kuwa mtumwa wa mwenzie
NB:Kama wewe ni KE signature chini inahusika