Kuuliza si ujinga ''eti walopo ndani ya ndoa, nguo za ndani kila mtu hufua zake au kuna kufuliana?"
NATAKA KUJUA ILI NIKIOA ISIWE SHIDA[/QUOTE
Ni kawaida ndiyooo
Ulisha kariri shori ni demu, mbona Tony ni mwanaume na jina hilohlo lnatumika kwa jinsia ya kike
So hakuna kusaidiana
Chup inapindisha mashine wewe watu tunavaa boxsa
Heshima na didhamu ndio kitu cha mhimu katika maisha yangu kama kwako sio kitu, basi shika hamsini zako staki maudhi.
Linatumika wapi?
usihofu kwa umri wako wa form one mpaka ufikie kuoa wachina watakuwa wameshamwaga disposable kwa hiyo ukivaa asubuhi unaweza usirudi nayo jioni.
Kuuliza si ujinga ''eti walopo ndani ya ndoa, nguo za ndani kila mtu hufua zake au kuna kufuliana?"
NATAKA KUJUA ILI NIKIOA ISIWE SHIDA
Acha uvivu, some thread yake hadi mwisho utajua yeye ni naniWe ni me au ke
Zamani tulikuwa tunafua sie,
miaka hii sijui, ila nasikia wanafua wajakazi.
Kuuliza si ujinga ''eti walopo ndani ya ndoa, nguo za ndani kila mtu hufua zake au kuna kufuliana?"
NATAKA KUJUA ILI NIKIOA ISIWE SHIDA