hahahaaa everlenk hivi kuna mtu hakuwahi kufundishwa kufua chupi utotoni?? wa kufua kwa kulazimishwa ni mtumwa na si mapenzi jamani
ndio maana nikashtuka kwasababu nawajua nyinyi.
hahahahaha aisee nimecheka sana.usihofu kwa umri wako wa form one mpaka ufikie kuoa wachina watakuwa wameshamwaga disposable kwa hiyo ukivaa asubuhi unaweza usirudi nayo jioni.
Mzee hajasingiziwa wewe kweli mangi.
Kuuliza si ujinga ''eti walopo ndani ya ndoa, nguo za ndani kila mtu hufua zake au kuna kufuliana?"
NATAKA KUJUA ILI NIKIOA ISIWE SHIDA
ndiyo mkuu
ndo uwe uwe unafua mwenyewe
He he he, hii formula unayotaka kutumia ni magazijuto? Area of a skwea? Au Formula 1?
Kuuliza si ujinga ''eti walopo ndani ya ndoa, nguo za ndani kila mtu hufua zake au kuna kufuliana?"
NATAKA KUJUA ILI NIKIOA ISIWE SHIDA